Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,272
- 12,539
Mwanamke ameumbwa kuhudumiwa tu,
Mwanamke ili atafutiwe na apewe atumie na ikitokea Mwanamke akatafuta na watu wakatumia basi watu hao hivyo vitu vitawatokea puani kwa masimango au kashfa yoyote watakayopewa.
Mfano huu hapa baba yangu wakati anamuoa mama yangu wa pili (mama wa kambo) alikuwa vizuri Sana kiuchumi, familia yetu sisi ilikuwa katika uchumi wa kipato cha kati.. Uchumi wa mzee uliporomoka hasa kipindi cha Magufuri na kufirisika kabisa na akawa ni Mtu wa kujifungia ndani.
Kipindi hicho Huyu Mama yangu wa pili alikuwa akijishughulisha na biashara ndogo ndogo kama kuuza ice cream na nyinginezo ambazo kwa kiasi chake alikuwa na akiba ambayo ilitumika kutatua matatizo matatizo madogo madogo mfano kulipia bili ya maji, umeme na kujazia Karo ya shule kwa wadogo zangu.
Lakini baada ya mzee kuyumba mama wa pili ilimbidi usukani kwa kusaidia kulisha familia na hapa ndipo tatizo likazaliwa.. Anachagua Nani ale chakula na Nani asile kwa sababu yeye ndie anaenunua chakula.
Hii imepelekea hata Mimi mwenyewe nikitaka kwenda kumtembelea mzee inatakiwa niende na kiasi kikubwa cha pesa kitakachoniwezesha kununua chakula na mahitaji mengine kwa siku zote nitakazokuwa kwa mzee Vinginevyo nitaambulia masimango mpaka kieleweke (mama yangu Huyu wa pili kabila lake ni mrangi wa kinda😁).
Hawa watu ni Shida tu za dunia lakini kiukweli ni kuwa hawakuumbwa kutoa wameumbiwa kupokea tu..
Mwanamke ili atafutiwe na apewe atumie na ikitokea Mwanamke akatafuta na watu wakatumia basi watu hao hivyo vitu vitawatokea puani kwa masimango au kashfa yoyote watakayopewa.
Mfano huu hapa baba yangu wakati anamuoa mama yangu wa pili (mama wa kambo) alikuwa vizuri Sana kiuchumi, familia yetu sisi ilikuwa katika uchumi wa kipato cha kati.. Uchumi wa mzee uliporomoka hasa kipindi cha Magufuri na kufirisika kabisa na akawa ni Mtu wa kujifungia ndani.
Kipindi hicho Huyu Mama yangu wa pili alikuwa akijishughulisha na biashara ndogo ndogo kama kuuza ice cream na nyinginezo ambazo kwa kiasi chake alikuwa na akiba ambayo ilitumika kutatua matatizo matatizo madogo madogo mfano kulipia bili ya maji, umeme na kujazia Karo ya shule kwa wadogo zangu.
Lakini baada ya mzee kuyumba mama wa pili ilimbidi usukani kwa kusaidia kulisha familia na hapa ndipo tatizo likazaliwa.. Anachagua Nani ale chakula na Nani asile kwa sababu yeye ndie anaenunua chakula.
Hii imepelekea hata Mimi mwenyewe nikitaka kwenda kumtembelea mzee inatakiwa niende na kiasi kikubwa cha pesa kitakachoniwezesha kununua chakula na mahitaji mengine kwa siku zote nitakazokuwa kwa mzee Vinginevyo nitaambulia masimango mpaka kieleweke (mama yangu Huyu wa pili kabila lake ni mrangi wa kinda😁).
Hawa watu ni Shida tu za dunia lakini kiukweli ni kuwa hawakuumbwa kutoa wameumbiwa kupokea tu..