Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

dogman360

Senior Member
Joined
Oct 15, 2018
Posts
195
Reaction score
313
Demu wako/mke wako/mchepuko akikwambia ana mimba muamini 100% ila anakua tu anataka kutoa.baadae utaskia nlikuwa nataka tu kuona utakavyo nijibu . .

Wadau skuizi wanawake wanajua kutoa mimba yaani kuna mdada hapa ananiambia ana mwenzake mwaka huu katoa mimba tano 5 .
 
Sasa kama mtu unajijua hauwezi kulea kwann usimtoe mapema kabda hajaja kuteseke dunian
Kwann Mpaka umlete ndo ujue huwez kumlea?
Kuna njia kibao za kuvuia mimba, kwann msizitumie hizo njia mnasubiri mshike mimba Ndo mtoe?

Kwamba kabla ya kushika mimba unajua unaweza kulea, ila baada ya kushika mimba Ndo unajua huwez kulea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom