Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,176
Mwanamke akipenda huwa kapenda kweli hili neno siyo uongo kabisa!
Wengi wanaolia wake zao au wapenzi wao ni viruka njia kiukweli hawajapendwa, kuna kitu walichonacho ni sumaku kiufupi kimemvuta. Hapo inaweza kuwa ni chambii mfukoni, haishangazi mwanamke ukampa kila kitu lakini bado akachepuka na muuza mihogo mtaani.
Pia kitu kingine tunachofeli wanaume tunaaminishwa kwamba ukimridhisha kwenye tendo la ndoa hachomoki kwako. Hakuna kitu kama hicho, hata umkojoze lile ni tendo tu muda mfupi. Ukipendwa hata kimoja chali yupo nawe muda wote atakuganda.
USHAURI WA MWISHO
Tafuta kupendwa ila hakikisha huo upendo ni wa kweli, isiwe vitu ulivyonavyo. Ukimpata mwanamke anayekupenda kwa dhati neno kuchepuka sahau kabisa!
Wanawake ni mashahidi katika hili, ila wanaojielewa. Maana wengine viruka njia kabla hata miaka 18 mpaka treni lishampitia huyo mh!
Wazee wa alkasusu na supu ya pweza hampendwi. Mwanamke hakupendi kisa kumnyandua, mnaliwa mifukoni hahaha!
Wengi wanaolia wake zao au wapenzi wao ni viruka njia kiukweli hawajapendwa, kuna kitu walichonacho ni sumaku kiufupi kimemvuta. Hapo inaweza kuwa ni chambii mfukoni, haishangazi mwanamke ukampa kila kitu lakini bado akachepuka na muuza mihogo mtaani.
Pia kitu kingine tunachofeli wanaume tunaaminishwa kwamba ukimridhisha kwenye tendo la ndoa hachomoki kwako. Hakuna kitu kama hicho, hata umkojoze lile ni tendo tu muda mfupi. Ukipendwa hata kimoja chali yupo nawe muda wote atakuganda.
USHAURI WA MWISHO
Tafuta kupendwa ila hakikisha huo upendo ni wa kweli, isiwe vitu ulivyonavyo. Ukimpata mwanamke anayekupenda kwa dhati neno kuchepuka sahau kabisa!
Wanawake ni mashahidi katika hili, ila wanaojielewa. Maana wengine viruka njia kabla hata miaka 18 mpaka treni lishampitia huyo mh!
Wazee wa alkasusu na supu ya pweza hampendwi. Mwanamke hakupendi kisa kumnyandua, mnaliwa mifukoni hahaha!