Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Jina la mtoto limeandikwa Max tena kwenye official document ya serikal...
Hapo ndio nakuja kuelewa kwa nn ajira za kada za chini serikalin zinataka walau uwe ujapata zero form 4
 
Aaah kafoji tena kadi ya clinic daa Jamaa noma aisee,tushawahi siti za mbele mubashara tunasubiria ubuyu,kwa mwwendo kasi huu maendeleo tuyasikie kwenye bomba,no hurry in Africa.
 
Si kila ampingae Gwajima hana cheti kama kamwokota Makonda kwenye cheti si kila mtu....
Arudishe misukule tuu kuliko kujaza watu habari za vyeti
Kwa hiyo watu wapige kimya kuhusu elimu ya RC na wanaoendelea kuondomewa ktk nafas zao kisa vyeti wale sio watu ni nyau wale daaa kalamu yangu nimekusoma
 
Kuna Watu wakiambiwa Gwajima hajawahi kufufua hata Sisimizi watabisha japo ni Mwigizaji Mzuri sana wa kufufua Misukule
 
Tatizo hapa ni mamlaka yake ya uteuzi. Huyu jamaa kafoji cheti na leo anafoji card ya kliniki. Je aliyemteua anasubiri mpaka aanze kuua watu ndo atambue anatakiwa kumuondoa? Jaman huyu mtu yuko desperate-amebanwa sana kiasi kwamba akiachwa aendelee na kazi ataanza kuwadhuru kimwili wapinzani wake.
 
Yaani mtoto chanjo zote tatu kazipokea zote ndani ya siku moja. Maajabu haya
 
Kijiji kipi maana kadi haina jina la mahali
Umeona uzuru wa kushutumu na kutoa evidence wewe mwenyewe badala ya kumyaka mtuhumiwa atoe evidence?
Sasa na nyie mwageni vyeti vya Makonda ili na yeye aanze kuhangaika mara aseme muhuri sio wa NECTA,hakuna centre no. n.k.Mnapomwambia Makonda atoe vyeti mnapoteza muda tu,toeni nyie semeni umefoji hapa na pale,iwe kazi kwaki ku prove wrong
 
huyo mama muongo toka mwezi wa 9 2015 mpk mwezi 12 2016 ni miezi 16 hapo watoto machua wawili walizawa ukigawanya kwa 2 ikimaanisha alibeba mimba mwaka 1 na miezi 4 kwahio ni uongo Wa kiwango cha lami
 
KIDALI PO

Leo ni hoja hojani!
1. Jina la clinic ni lipi? Au aliyejaza hii hajui taratibu za hospitali? Au HAYUPO hospitali, kaijazia shambani?
2. Mtoto kazaliwa hospitali, ila hakuna jina la mhudumu. Au aliingia labor ward akajifungua huko mwenyewe mwenyewe?
3. Mtot hajulikani anapoishi, hata mzazi wa kiume hajulikani anapoishi... Hata kanisani hakujulikani ni eneo gani? Maana kama alipatikana chini ya madhabahu, basi hapo ndipo hom, ama? Au pale alipomtandikia mwanae, napo hapana jina?
4. Chanjo ni SIKU MOJA?? UUUUWI huyo mtoto hakufa? Nesi gani asojua muda wa chanjo jamani? Mbona mwadhalilisha hii taaluma?
5. Hivi huu mwandiko mbona ni wa mtu mmoja, kalamu nyeusi ile ile? Au siku hizi kuna restrictions kwamba LAZIMA kalamu nyeusi itumike kama vile mnajaza fomu za mkopo za HELSB?
Na huyu mjaza kadi, ina maana ni yeye pekee ambaye anamhudumia mama huyu? Au kwa vile mtoto katoka chini ya madhabahu? Yaani yeye kazi yake ni kumsubiri mchepuko wa Gwajima auhudumie?
6. Mtoto hana namba.. Huyu mtoto ni wa nchi gani? Kwamba hospitali alomzaa mwanae aidha ni mpyaaaaa, yaani huyu mtoto ni wa namba "sifuri"... Au kwenye hiyo hospitali alimozaliwa, kama ni kongwe, basi huwa hawajazi taarifa zozote za mtoto alozaliwa...
7. Kwa miaka ya karibuni, lazima baba wa mtotot ahudhurie kliniki au kuwe na barua toka kwa ofisi za serikali ya mtaa kumhusu huyo baba mzazi kama ni mume wa wenyewe. Nayo inatosha kabisa kujazia hizo taarifa ambazo HAZIPO. Nafikiri hii itafutwe

NIWASAIDIE
1. Kama ni kadi ya kweli watuambie hospitali ni ipi, waweke pia kielelezo cha register, siku huyu mama amepokelewa, muda, nk.
2. Iwepo kadi ya clinic ya mama mjamzito na records zake katika register book.
***Kadi ya mama ya clinic ina taarifa zote muhimu hasa tarehe ya mtoto kuzaliwa, maumbile, uzito, muda aliozaliwa, mhudumu na jina la hospitali
***Vitu hivi vinapatikana kirahisi, lakini register book sio rahisi uichakachue, maana ukitaja jina la Hospitali, na namba ikaonekana, taarifa kuzipata uhakiki ni rahisi sana... Ila kuhonga madaktari wampokee na kumfanyia registration mtoto feki ni ngumu....
***Inaelekea huyu alotoa wazo la kadi ya kliniki hajazaa, angekuwa ana mtoto asingefanya shudu hizi
***tafuteni kisa kingine, hiki mmekiharibu, hakiuziki
NB: SUALA LA MTOTO NI WA NANI HALINIHUSU NA SILIJADILI.
HAPA NIMEWEKA SAWA UJAZWAJI WA KADI YA KLINIKI, BASI
Happy J (BIBI)
3b4a858f20298900f6a5188ac82db0b7.jpg
 
ujinga ni pale unapoacha kuandika data muhimu zote.. then basi hata angejaribu kuiga miandiko ya manesi jamaani... hlf mtoto chanjo ya kwanza kapigwa masiku tele baada ya kuzaliwa wkt ni siku hyo hyo akichelewa sana ni next day...hadi matone yamechelewa hvyo.... mbaya zaidi chanjo zinazofata eti zimepigwa siku moja... na mtoto siku zote hizo anaenda clinic bila jina.. chaaaaaa.. em wasituchoshe!!!!
 
Back
Top Bottom