ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,415
- 9,557
Weka proof ya hayo yote uliyoyaandika
Au sabahu unayasoma
Sasa wewe nawe ni wale wale fata mikumbo
Na hao wanaowavuta waambie watumie akili kudanganya hata CIA waavute kuwafanyia kazi.
Fata mkumbo fata porojo
Na bado mtaisoma namba hadi mtie cheche mkitembelea miguuu
Makonda oyeeeeeee