..............mmmh.......!Mwanakjj usiifute hii thread kwa vile wewe ni MOD humu. lazima tuweke ukweli wote humu.
Mwanakjj usiifute hii thread kwa vile wewe ni MOD humu. lazima tuweke ukweli wote humu.
..............mmmh.......!
Mwanakjj usiifute hii thread kwa vile wewe ni MOD humu. lazima tuweke ukweli wote humu.
You know everyone at JF welcome!
Highlighted above is fabrication, Mzee Mwanakijiji is not a MOD on this forum. Not sure about the rest of your claims, but on this one you are wrong. Have a nice day!
Sikiliza Mahojiano baina ya Michuzi na radio butiama. Michuzi anaeleza aliingiaje kwenye Uandishi wa habari na lini. Pia anasema kabla ya kuwa mpiga picha alikuwa nani.
Historia ya blog yake na nani na nini kilichomfanya aanzishe blog.
Click Here
Kama nilivyoandika miezi kadhaa iliyopita kuwa wameziacha fikra za Mwalimu, hawana cha kushikilia ukweli huo bado upo leo hii. Walipoamua kuvunja misingi ya Taifa pasipo woga wakiweka mbele maslahi yao na watoto wao, hawakumkumbuka Mwalimu! Walipoamua kubinafsisha hata mashirika ya msingi na yenye faida waliziruka fikra za Mwalimu, na walipoamua hatimaye kuvunja vunja na kuisigina miiko ya uongozi iliyojengwa na Azimio la Arusha walijitenga kabisa na fikra zile sahihi za Mwalimu.
Sasa sijui kama alikuwa anajizungumzia yeye au mtu mwingine! Lakini ni jukumu la kikao hiki na vile vya baadaye kutafuta njia ya kupambana na ufisadi kuanzi kwenye shina hadi taifa, kuanzia ofisi ya kijiji hadi pale Magogoni!
Kushindwa kufanya hivyo ni kufanya kile ambacho nilikiandika mwaka jana, kuwa wameziacha fikra za Mwalimu, hawana pa kushikilia!
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.
1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.
hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.
Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela
hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo
na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.
http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html
Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!
Katika hii argument, ni salama kusema kuwa majina mengine ya mwanakijiji ni Gembe, mahesabu, kadampinzani, allah slave
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.
1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.
hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.
Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela
hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo
na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.
http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html
Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.
1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
7.Mjenga Hoja.
hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.
Je hili nalo linahitaji invisible aje kuingia hapa na kusema kuwa Mwanakijiji sio Asha Abdala wala Mwafrika wa kike? Au hili nalo linahitaji mtaalamu toka Sweden (kama alivyosema Kikwete) aje kuthibitisha kuwa hakuna possible way ya kuchapicha maneno mia tano kwa sekunde moja na yote yakatokea JF within minutes kwa nicks zote hizo ulizotaja!
Gooooshhi,, wakati mwingine wana ccm hata mnatia vinyaa hapa!
Sasa Mwafrika wa kike unataka kubisah mwanakijiji sio Lula wa Ndali?Mie sina ugomvi na Mwanakijiji ila nataka awe anatumia jina Moja katika Makala Zale,leo sio hivi kesho hivi..Katika hii argument, ni salama kusema kuwa majina mengine ya mwanakijiji ni Gembe, mahesabu, kadampinzani, allah slave au lolote lile unaweza kufikiria si ndio?
Ulichoprove hapa ni nini sasa?!??!
WKani Lidya Ngosha alikuwa Mpenzi wangu mpaka nianze kumchukia Mwanakijiji??sina chuki na Mzee WakijijiniThread imeanzishwa ya Michuzi, wewe na chuki zako na woga wako dhidi ya mwanakijiji unakimbia kuja na vitu ambavyo hata mtoto wa 2nd grade anaweza kuviona kuwa ni paranoia in making?
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.
1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.
hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.
Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela
hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo
na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.
http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html
Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!
Watu wengine kwa kupindisha mada tu???, sasa hii thread ni ya Michuzi, Mwanakiji kaingiaje?
Sasa Mwafrika wa kike unataka kubisah mwanakijiji sio Lula wa Ndali?Mie sina ugomvi na Mwanakijiji ila nataka awe anatumia jina Moja katika Makala Zale,leo sio hivi kesho hivi..
Kama Mawazo yanafanana basi,Mwanakijiji =Ushirombo=Mwaftika wa kike=Lula wa Ndali.Kwa ushahidi wa makal hizo,Mwanakijji hana cha juitetea kuhusu hili.Yeye ndiye mjenga hoja !naomba Mwanakijiji unijibu katika PM.aua Mwafrika wakike ambaye ndiye wewe
alafu Mwafrika wa kike usilete za kuleta hapa,Haunitishi na wala siogopi kuchangia kuhusu MWanakijiji sababu yeye ni Mtanzania na nalindwa na ibara ya 19 ya katika ya Nchi yangu!
angalia makala hizo hapoa juu zinazomhusu Mwanakijiji
WKani Lidya Ngosha alikuwa Mpenzi wangu mpaka nianze kumchukia Mwanakijiji??sina chuki na Mzee Wakijijini
Watu wengine kwa kupindisha mada tu???, sasa hii thread ni ya Michuzi, Mwanakiji kaingiaje?