Mwanakijiji Amuumbua makamu wake

Mwanakjj usiifute hii thread kwa vile wewe ni MOD humu. lazima tuweke ukweli wote humu.

You know everyone at JF welcome!
 
Mwanakjj usiifute hii thread kwa vile wewe ni MOD humu. lazima tuweke ukweli wote humu.

Highlighted above is fabrication, Mzee Mwanakijiji is not a MOD on this forum. Not sure about the rest of your claims, but on this one you are wrong. Have a nice day!
 
..............mmmh.......!

Usishangae ndio mambo jamaa huwa anafuta au kuzipeleka kusiko zile mada zinazomhusu Mbowe.
ndio maana huwa tunasema wenzetu wako Home ground tusio Chadema tuko AWAY.
Unajua Chacha alisma kuwa Chama chao kina ubaguzi wa kidini na kikabila.toka hapo Mbowe hataki kumuona.
 
Highlighted above is fabrication, Mzee Mwanakijiji is not a MOD on this forum. Not sure about the rest of your claims, but on this one you are wrong. Have a nice day!

Mtumie PM mwenye nyumba,huwezi kusema niko wrong bila kuniomba evidence!!
 
Sikiliza Mahojiano baina ya Michuzi na radio butiama. Michuzi anaeleza aliingiaje kwenye Uandishi wa habari na lini. Pia anasema kabla ya kuwa mpiga picha alikuwa nani.
Historia ya blog yake na nani na nini kilichomfanya aanzishe blog.

Click Here

Hivi hakuna anayeweza kumhoji mwanakijij na historia yake?>
 
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.

1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.

hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.

Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela
Kama nilivyoandika miezi kadhaa iliyopita kuwa “wameziacha fikra za Mwalimu, hawana cha kushikilia” ukweli huo bado upo leo hii. Walipoamua kuvunja misingi ya Taifa pasipo woga wakiweka mbele maslahi yao na watoto wao, hawakumkumbuka Mwalimu! Walipoamua kubinafsisha hata mashirika ya msingi na yenye faida waliziruka fikra za Mwalimu, na walipoamua hatimaye kuvunja vunja na kuisigina miiko ya uongozi iliyojengwa na Azimio la Arusha walijitenga kabisa na fikra zile sahihi za Mwalimu.

hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo
Sasa sijui kama alikuwa anajizungumzia yeye au mtu mwingine! Lakini ni jukumu la kikao hiki na vile vya baadaye kutafuta njia ya kupambana na ufisadi kuanzi kwenye shina hadi taifa, kuanzia ofisi ya kijiji hadi pale Magogoni!

Kushindwa kufanya hivyo ni kufanya kile ambacho nilikiandika mwaka jana, kuwa ‘wameziacha fikra za Mwalimu, hawana pa kushikilia’!

na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.

http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html

Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!
 
Wenye majina mengi humu wako wengi. Unajua kuna wakati mwingine unakuwa unataka kuchangia hoja bila kujulikana. Si unajua kama una mawazo ya kitatanishi ndivyo inavyokuwa.
 
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.

1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.

Katika hii argument, ni salama kusema kuwa majina mengine ya mwanakijiji ni Gembe, mahesabu, kadampinzani, allah slave au lolote lile unaweza kufikiria si ndio?

Watu wengine mkikosa kazi ya kufanya! yaani kimekuumiza sana miaka yote hii kuona kuwa kuna mtu hapa JF anaitwa mwafrika wa kike ambaye ni independent soul and body from your tetro... ego na umefikia kudhani kuwa there is no way hii jinsia inaweza kuwa hivi na kufanya haya. Kwako wewe, mwafrika wa kike ni lazima iwe ni jina la jinsia ya kiume ambayo tu ndiyo yenye uwezo wa kuchapisha kwa speed ya maneno mia tano kwa sekunde moja kwa kutumia computer nyingi ambako ziko sehemu mbali mbali za dunia -ambalo linajulikana kama Mwanakijiji.



hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.

Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela


hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo


na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.

http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html

Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!

Ulichoprove hapa ni nini sasa?!??!

Thread imeanzishwa ya Michuzi, wewe na chuki zako na woga wako dhidi ya mwanakijiji unakimbia kuja na vitu ambavyo hata mtoto wa 2nd grade anaweza kuviona kuwa ni paranoia in making?

Je hili nalo linahitaji invisible aje kuingia hapa na kusema kuwa Mwanakijiji sio Asha Abdala wala Mwafrika wa kike? Au hili nalo linahitaji mtaalamu toka Sweden (kama alivyosema Kikwete) aje kuthibitisha kuwa hakuna possible way ya kuchapicha maneno mia tano kwa sekunde moja na yote yakatokea JF within minutes kwa nicks zote hizo ulizotaja!

Gooooshhi,, wakati mwingine wana ccm hata mnatia vinyaa hapa!
 
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.

1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.

hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.

Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela


hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo


na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.

http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html

Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!

Hoja mfu, kama huna cha kuandika soma mitundiko ya wengine.....inawezekanaje mtu mmoja awe na identity zote hizo? na awe anachnagia kiasi hicho nimejaribu kujumlisha postings za watu hao ama mtu huyo, it can not be...kwani Mwanakijiji analipwa na JF....? ama kuchangia hapa JF ni ajira? Gembe usiwe mvivu wa kufikiri
 
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.

1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
7.Mjenga Hoja.

hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.

And....???

Ila hilo la kuchanganya hao watu wote uliowataja, hauko peke yako kwenye jaribio hilo, unaweza kuongeza majina ya watu wengine ukijisikia.

Lakini hapa hii mada ni ya Michuzi, na kuiteka nyara hivi si vizuri ukitaka kuanzisha mada ya "mwanakijiji" ungana na wenzio waliofanya hivyo kabla yako.
 
Je hili nalo linahitaji invisible aje kuingia hapa na kusema kuwa Mwanakijiji sio Asha Abdala wala Mwafrika wa kike? Au hili nalo linahitaji mtaalamu toka Sweden (kama alivyosema Kikwete) aje kuthibitisha kuwa hakuna possible way ya kuchapicha maneno mia tano kwa sekunde moja na yote yakatokea JF within minutes kwa nicks zote hizo ulizotaja!

Gooooshhi,, wakati mwingine wana ccm hata mnatia vinyaa hapa!

oh snap! girl.. now its my turn to get the popcorn...!! mwenyewe nimekaa barazani kwenye kiti changu cha uvivu miguu juu, pembeni kuna kibuyu cha ulanzi!
 
Katika hii argument, ni salama kusema kuwa majina mengine ya mwanakijiji ni Gembe, mahesabu, kadampinzani, allah slave au lolote lile unaweza kufikiria si ndio?
Sasa Mwafrika wa kike unataka kubisah mwanakijiji sio Lula wa Ndali?Mie sina ugomvi na Mwanakijiji ila nataka awe anatumia jina Moja katika Makala Zale,leo sio hivi kesho hivi..

Kama Mawazo yanafanana basi,Mwanakijiji =Ushirombo=Mwaftika wa kike=Lula wa Ndali.
Kwa ushahidi wa makal hizo,Mwanakijji hana cha juitetea kuhusu hili.Yeye ndiye mjenga hoja !naomba Mwanakijiji unijibu katika PM.aua Mwafrika wakike ambaye ndiye wewe

alafu Mwafrika wa kike usilete za kuleta hapa,Haunitishi na wala siogopi kuchangia kuhusu MWanakijiji sababu yeye ni Mtanzania na nalindwa na ibara ya 19 ya katika ya Nchi yangu!

Ulichoprove hapa ni nini sasa?!??!

angalia makala hizo hapoa juu zinazomhusu Mwanakijiji

Thread imeanzishwa ya Michuzi, wewe na chuki zako na woga wako dhidi ya mwanakijiji unakimbia kuja na vitu ambavyo hata mtoto wa 2nd grade anaweza kuviona kuwa ni paranoia in making?
WKani Lidya Ngosha alikuwa Mpenzi wangu mpaka nianze kumchukia Mwanakijiji??sina chuki na Mzee Wakijijini
 
itakuwa vizuri kama Mwanakijiji akitueleza kwanini anatumia majina meng katika Forum hii..
Majina ya Mwanakijiji ni kaka ifuatavyo.

1.Mzee Mwanakijiji
2.Lula wa ndali Mwanaznela
3.Asha Abdala
4.Pundit
5.Mpita njia
6.Mwafrika wa Kike
7.Mjenga Hoja.

hii inaleta utamu sans ahapa JF.naomba kutoa ushahidi wa Mwanakijiji kutumia majina mawili kama ifuatavyo.

Angalia makala hii ya Raia Mwema ya wiki iliyopita ya Kisa cha Abunuwasi na kikao cha CCM Butiama kwa kutumia jina la Lula Ndali Mwananzela


hiyo makala ya Wamaziacha fikra za Mwalimu Mzee Mwanakijiji aliiandika kwa kutumia jina la M.M Mwanakijiji.Hii ni makala ya jumapili katika gazeti la Tanzania Daima ambapo alisema kuhusu hilo


na makala halisi ni hii katika Gezeti la Kulikoni tarehe 25-09-2007 na jina la makala ilikuwa ni 'Tungelikuwa wao sisi,tungefanya hivi'.hapa alitumia jina la Mjenga Hoja.

http://www.jamboforums.com/archive/index.php/index.php?t-5650.html

Binafsi mie ni mpenzi mkubwa wa makala za mwanakiji,na huwa sikosi kuziosoma na nianzo nyingi sana.Nampongeza sana kwa ustadi wake wa kuandioka habari hata kama ni ya jana leo anaweza andika makala nzito!

Watu wengine kwa kupindisha mada tu???, sasa hii thread ni ya Michuzi, Mwanakiji kaingiaje?
 
Sasa Mwafrika wa kike unataka kubisah mwanakijiji sio Lula wa Ndali?Mie sina ugomvi na Mwanakijiji ila nataka awe anatumia jina Moja katika Makala Zale,leo sio hivi kesho hivi..

Na nikishajua kuwa Mkjj ndiye Lula then itanisaidia nini mimi? Kama mwenyewe ameamua kutumia nick ya Mkjj then si ana choice ya kutumia jina lolote analotaka?

Kama Mawazo yanafanana basi,Mwanakijiji =Ushirombo=Mwaftika wa kike=Lula wa Ndali.Kwa ushahidi wa makal hizo,Mwanakijji hana cha juitetea kuhusu hili.Yeye ndiye mjenga hoja !naomba Mwanakijiji unijibu katika PM.aua Mwafrika wakike ambaye ndiye wewe

Hizi ni argument za kitoto sana, ina maana Barack Obama na yule Governor mweusi wa Masachuseti wanapotumia maneno ya kufanana kwenye hotuba zao basi hiyo inamfanya Obama awe Duvaki?

alafu Mwafrika wa kike usilete za kuleta hapa,Haunitishi na wala siogopi kuchangia kuhusu MWanakijiji sababu yeye ni Mtanzania na nalindwa na ibara ya 19 ya katika ya Nchi yangu!

Nani amekutisha wewe hapa? kati ya watu ambao ninawahofia hapa JF wewe sio mmoja wao maana uko so paranoid so keep exploding

angalia makala hizo hapoa juu zinazomhusu Mwanakijiji


WKani Lidya Ngosha alikuwa Mpenzi wangu mpaka nianze kumchukia Mwanakijiji??sina chuki na Mzee Wakijijini

Mpaka sasa najiuliza kuwa ni sababu gani imekupelekea ubake thread iliiyoanzishwa kwa ajili ya michuzi na ukaigeuza kuwa anti Mkjj?!?!?!
 
Watu wengine kwa kupindisha mada tu???, sasa hii thread ni ya Michuzi, Mwanakiji kaingiaje?

Hili ni swali gumu sana mkuu lakini kama alivyosema hapo juu Ushirombo, inaonekana ukimtetea Mwanakijiji hapa JF dhidi ya watu kibao ambao wana chuki nyingi dhidi yake basi unabatizwa jina la Mwanakijiji!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom