MwanaJF yupi anafaa kuteuliwa viti maalum?

MwanaJF yupi anafaa kuteuliwa viti maalum?

Nimekufanya vitu vingi..Ila vyote umeonyeshwa kufurahishwa navyo..Sijui hizi lawama zatoka wapi

Kuninyima pesa huku mkishsdadia na bintiyo.

Kwahiyo safari ndio umeninyima?
 
Tatizo wanawake wa MMU wamekuwa partisan sana, hawatatetea maslahi ya wananchi bali ya chama. Mfano: cute b na khantwe!
Sijataka kuwaita maana hawachelewi kuporomosha mitusi.

Mkuu nilishawahi kukutukana au umeamua tu kunichokonoa?
 
Madam FaizaFoxy anafaa sana.

Wasi wasi wangu ni kama atayaweza masharti ya kuupata huo ubunge.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha utakuwa unakuja kutufanyia surprise za ukaguzi wa mahesabu teh

Hiyo haina ratiba ni suprise tu, na hakuna safari yoyote ya nje, mnaenda kufanya nini wakati wananchi mnaowahudumia wako humuhumu?
 
Back
Top Bottom