My douta Heaven Sent unafaa sana ila sitaki uende huko
Teh teh..Watu watajua hadi kitanda mnacholalia ni size ganiHata mimi sitaki aende kwa kweli.
My douta Heaven Sent unafaa sana ila sitaki uende huko
Hata mimi sitaki aende kwa kweli.
Teh teh..Yani ukisimama tu watu wanajua unaongelea nn..Halafu nimepita sehemu nasikia unasema mi nina kiburi..kweli?Mie huko hapanifai kabisaaaaa, yaani kanti imajini, wasipoongeza najiuzuru
naona kama wanawake ndo wanatajwa zaidi kwani hivi viti si vya wote au...Paulo sergio de souz unafaa mkuu
Teh teh..Watu watajua hadi kitanda mnacholalia ni size gani