MwanaJF yupi anafaa kuteuliwa viti maalum?

MwanaJF yupi anafaa kuteuliwa viti maalum?

Tatizo wanawake wa MMU wamekuwa partisan sana, hawatatetea maslahi ya wananchi bali ya chama. Mfano: cute b na khantwe!
Sijataka kuwaita maana hawachelewi kuporomosha mitusi.

Hahahaaaa nitaenda kutetea maslah ya wananchi mkuu
 
Nilipaswa niwemo akilini mwako! Nimesubiri weee labda utanitaja naona kimya. Nimeamini huwa naongea sana pumba kuliko mbolea!

Sasa ujue, akilini zangu kama mwanaume zimegawanyika. Sasa inategemea upo kwenye akili zipi wakati napendekeza majina, ila ni vyema kuwa kwenye zote. 😎
 
Mimi sijui viti maalum ni nini ila mi naona spika wa bunge awe FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Nitarudi Lakini Natoa Angalizo kwenu, Atoto Asipewe Wizara Yoyote Inayohusika na Pesa...
 
Teh wivu tu, hamtaki niishi kizungu. Ntawanyoosha na baba mkwe wako

Hehe no. Sisi ni waAfrika na tunauthamini uAfrika wetu. Besides, utakuwa humalizi hoja kwa kuwa hakutakuwa na muda wa kutosha kuwakilisha magazeti yako.

*walking away whistling, my hands in my pockets*
 
Hehe no. Sisi ni waAfrika na tunauthamini uAfrika wetu. Besides, utakuwa humalizi hoja kwa kuwa hakutakuwa na muda wa kutosha kuwakilisha magazeti yako.

*walking away whistling, my hands in my pockets*
Hahhahaha you so nuts[emoji23] [emoji23] [emoji23] , week hii hamna kula nyumbani. Magazeti ntakuwa nayaandika afu nakala namkabidhi tu spika.
 
Back
Top Bottom