ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
Mungu akutie nguvu Saint Anne
Poleni wote wakuu mangi aliitwa nani ni wa marangu, kibosho au wapi kwa Kilimanjaro.Mimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
MshangaaPoleni wote wakuu mangi aliitwa nani ni wa marangu, kibosho au wapi kwa Kilimanjaro.
Mshangaa
Mwika kondeni
Pole Sana mkuuMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Pole mkuuMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Poleeeeh sana Mr.Mimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Amen dadaSaint Anne
Pole sana dear,naelewa unachopitiaMungu akawe faraja yenu wewe na wapendwa wako.
Uko katika maombi yangu
Hii ndio picha ya bidada Saint Anne.?
Pole sana mamiiii
Mungu akutie nguvu Saint Anne
Pole sana na poleni wafiwa wote, mungu awape nguvu na ampe mwenzetu nguvu kipindi hiki kigumu.
Pole Sana kwake
Mungu awatie nguvu...
AmenMungu awape faraja wafiwa, na roho ya marehemu ipumzike kwa Amani.
PoleMimi nimefiwa na babu mzaa mama,sherehe yake ya mwisho ilikua jana..... iogopeni sana sukari na cancer wakuuView attachment 1806722
Akhsante,Pole sana ndugu yetu
Kumbe upogo wee habari za uko kwenuPole sana mamiiii