hii itakua kama vuta ni kuvute vile..! na mpaka ije kucost maisha ya mtu ndio viongozi wao watakapo jua ukilea kidonda utakuja kukata mguu..! uhasama huu mdogo mdogo ukiendelea iko siku mtakuta polisi kama tisa wamekufa na hapo jamaa nao watataka kurevenge ndio hapo ngoma itakapo anza rasmi..! mimi sio nabii ila hilo linaweza kufika uko..!?
Jamani huyo jamaa alijifanya ni mwanajeshi ndio raia wema wakatoa taarifa kwa polisi waliokuwa jirani ambao ni hao trafic police.
Na wao walimkabili wakijua fika kuwa yule sio mwanajeshi.
naipenda nchi yangu ya tanzania! ina kila aina ya burudani! kuanzia waziri anayesema nchi yetu ni muungano wa zimbabwe na tanganyika! mbunge zito anayetaka kushusha umri kwa maslahi yake na hiyo drama hapo juu! lolest! karibuni watalii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.