ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,370
- 3,007
Pole yao ila wanakera wanachapa hadi abiria mbaya zaidi wanakuwa na rungu dawa ya mbu wanawasha njiti then wanaspray kwa kutumia ile dawa kwenye magari wanayopishana nayo,waendesha bodaboda ndio balaa wanachomoa stend ya pikipiki ikiwa kwenye mwendo inakwaruza lami na kutoa cheche kubwa,kwa kweli jana vurugu sana