Hawa ndo vijana wa dar, huwa wanakera sana, huyo mjeshi ninampongeza na ingekuwa uwezo wangu ningemhamisha mkoa tu aendelee na shughuli zake. Ditopile alipompiga risasi mtu tulidhani ni mjinga, haya ndo matokeo. Laiti watu wengi wenye magari wangefanya kuwaua vibaka au wapuuzi kama hawa vijana wangeishajifunza.
Ngoja tupate serikali imara tutawaondoa dar warudi kulima.
tafakari kabla hujachangia mada kuepuka kutoa pumba!!