Vumilia tu
mwaJ, huyo
masopakyindi ndiye mwana CCM aliyepikwa akapikika...halafu huyu utakuta ni mtu mzima, ana familia na wapo wanaomwita baba! mtu mzima ovyooo! Sasa fikiria kuwa ni mijitu type hii ndiyo imekamata nchi... inauza ndege yetu Tsh. 500,000, inapakia twiga wetu kuwapeleka Uarabuni halafu inakesha JF ikiwatetea wezi, mafisadi na wauaji!
Mkuu
Mag3 nilikuwa nikifikiri uko kwenye kundi la wana CDM progressive, wale wenye kutumia vichwa vyao kutafuta soltions for Tanzanian problems, lakini, hii posti yako imekuexpose.
Una argue kama the rest of them, vijana waliovua nappy majuzi, arguing with emotions and not conviction kutokana na facts.
You have started to make me sick.
Siyo siri mimi ni mwana CCM, tena damu damu, lakini WEKA posti MOJA nilyosapoti UFISADI wa watu kama ROSTAM au EL au hata EPA.
Please dont argue like the rest of them, kids who are wet behind their ears, people who cant differentiate on matters of principle.
Yes, nina watoto, kama wewe huna,thats your problem, you need urgent medical attention.
Sasa mtu mwenye akili kama wewe kumsapoti mtu mweye uwezo wa kumchukua mke wako, ukamshangilia na kukenua kama huna akili nzuri, wa hovyo hapo nani?
Last but not least differentiate yourself from the
sans culotes, ​the braying masses , ili uwe na any meaningful contribution to an agument.