Mwanakijiji analipeleka hili suala huko US CONGRESS.lazima aachiwe ama sivo tunawekewa vikwazo vya kiuchumi.
Kesi za kijinga jinga ndo zinaendaga haraka ila za kina Dk Ulimboka hata kwenda kumtambua mtuhumiwa bado
Wewe ndiyo unajichanganya...wapi nimesema ni mwanajeshi.
Mwanakijiji analipeleka hili suala huko US CONGRESS.lazima aachiwe ama sivo tunawekewa vikwazo vya kiuchumi.
True this is double standard....kabisa...,Yule Askari Polisi alifanya Kosa kubwa kuliko Hilo la aliyevaa sare....kwa mazingira ya vijijini kuna vijana wengi ambao walikuwa na ndoto ya kuwa wana jeshi na hawakufanikiwa...wanavaa sare za Ndugu Zao wastaafu...elimu inahitajika.
Sasa Watu wataanza Kuhoji Askari wanaofanya siasa....Kama wenyeviti wa Kamati za siasa
Watu wataendelea Kuhoji kwanini viongozi wa CCM wanashirikishwa kwenye vikao Vya kupendekeza vijana wa kuajiriwa jeshi,Polisi ,usalama etc..kuanzia mitaani hadi wilayani....eti lengo kuhakikisha vijana wapinzani au wa wazazi wapinzani hawaingii kwenye vyombo Vya usalama...
Nadhani pamoja na ukweli wa Kosa la kijana ....tujiandae Watu kuanza Kuhoji haya....na haipendezi jeshi letu la ulinzi likaingizwa kwenye siasa Kama Polisi
Idd Simba na Ridhiwani wamekutwa wameweka fedha za Mauzo ya UDA kwenye Account ya Idd Simba, Wamefungwa miaka mingapi? Nchi hii, ipo siku tu adabu itatamalaki.
Ndomba ambaye ni Ofisa wa Jeshi, amekuwa DC na RC akiwa afisa wa Jeshi Luteni Kanali hakuna aliyesema kitu. Kisha katolewa kwenye ukuu wa mkoa na kurudi jeshini na kupanda cheo cha kijeshi na kuwa Luteni Jenerali
Akiwa mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa, kwa mujibu wa katiba ya CCM alikuwa mjumbe wa kamati ya siasa wilaya/mkoa
Na majukumu yake yanatajwa hapa:
Tusiwe na double standards please!
kwa hyokumbe hakutaiwa kushtakiwa na huko kufungwa kwa kupiga picha nalema kama mwanajeshi.Mkuu huyo siyo mwanajeshi ni muhuni tu wa Chadema ambaye alivalishwa na Lema sare za Jeshi nakupiga naye picha kulichafua jeshi letu kujiingiza kwenye siasa.
hii kesi mbona imewahi sana kutolewa hukumu, yaan kukamatwa wiki iliyopita na hukumu wiki hii.
Aisee hii haijawahi tokea Tanzania,ingekuwa hv na kwa Mafisadi mbona ingekuwa raha sana.