Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Mkuu huyo siyo mwanajeshi ni muhuni tu wa Chadema ambaye alivalishwa na Lema sare za Jeshi nakupiga naye picha kulichafua jeshi letu kujiingiza kwenye siasa.
Sidhani kama hilo la Lema kumvisha magwanda linawezekana ila ni uzembe wa Jeshi lenyewe kwani vijana wa JKT huwa wanavaa hayo magwanda na kulindia usiku kwenye ulinzi shirikishi mbona.