Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
8,982
Reaction score
13,483
Screenshot_20250618_072042_Parallel Space Lite.jpg
Screenshot_20250618_071920_Parallel Space Lite.jpg
Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Anasema ameumizwa na hajitambui mbona anaweza kuandika huko mtandaoni?
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Anatukana kila mtu kama mwehu huko X. Alichopata kinamstahili ili ajifunze kukosoa au kipingana na watu kwa adabu.
 
Nitalia kila siku Kwa kuwaombea hawa wadogo zetu wawe na hekima sasa mtu kama huyu na hizo yeboyebo anapata wapi ujasiri wa kutukana watu ikiwa milioni tu Hana
Mimi mwenzenu huwa napenda wakuu mngekuwa mnatuorodheshea hayo matusi Ili tuyaone hata Mimi sipendi matusi hata hivyo mahakama ndio inayohukumu sio vizuri kujichukulia sheria mkononi
 
kama alivyokuwa @Mdude_Nyagali.
Wewe ni mtu usiyejulikana?

Unamaanisha nini unaposema kama alivyokuwa Mdude Nyagali?

Mdude Nyagali mpaka leo hajulikani kama yupo au hayupo, na wewe umekuja na andiko lente kiashiria cha wewe unajua Mdude alipo, imma mmemuuwa na ama mmemficha

Wewe unahitaji kufwatiliwa kwa ukaribu
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Anajinasibu kama mfanya biashara wa magari halafu hana Tsh 2 Million za kujitibia? Lakini hela ya kuweka bando ili kutukana watu anayo. Nilimchangia wakati akitoka jela ila nilimdharau alipokataa ushauri ambao watu walikuwa wanampa. Hebu soma hapo ;-

20250618_075908.jpg

Angalia alivyomjibu ANOH Himself:-
20250618_075901.jpg

Geronimo akamuonya:-
Screenshot_20250617_174126_Parallel Space Lite.jpg

Naye akamjibu hivi:-
Screenshot_20250617_174335_Parallel Space Lite.jpg


Screenshot_20250617_181746_X.jpg
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
sometimes ni kutumia akili kidogo.....

unapmbana na liserikali lenye haki ya kuua na kutesa watu,halafu hutumii akili ya kulikwepa litakuua

pambana nalo ila jifunze jinsi ya kulikwepa ili lisikufanyie hayo madhara,hiyo ndio akili

unapambana nalo na huna strategies ya kulikwepa unaweka shingo,litakuua

be a hero headlessly and die

shida ya wananchi hawaokoagi mtu,use your brains!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom