Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,397
- 18,001
"Mheshimiwa Rais, msiposema ukubwa wa tatizo, wananchi watatafuta upenyo wa pa kusemea kwa sababu madhila yanapozidi mioyo ya binadamu huota kutu.Tuambiane ukweli, hata unapokuwa mchungu.
Ukweli utatuweka huru na utatuleta pamoja kufanya kila linalowezekana kutafuta suluhu ya kupambana na korona na madhara ya kiuchumi na kijamii"
Ukweli utatuweka huru na utatuleta pamoja kufanya kila linalowezekana kutafuta suluhu ya kupambana na korona na madhara ya kiuchumi na kijamii"