watake wasitake MWANAHALISI KILA WIKI TUTASOMA NA HABARI ZAKE TUTAENDELEA KUZIAMINIKwanza kabisa nakwambia spade shall never be a spoon. Wewe umetumwa tu kumchafua Said Kubenea, nami najitokeza wazi kabisa kukwambia kwamba huna ubavu wowote wa kuita spade kuwa spoon. Kubenea na mwanahalisi litabakia kuwa gaziti la umma, na litasomwasana mpaka ulie.
Kwanza nikupe kitu cha ajabu sana ambacho ni cha pekee kwa mwanahalisi. Ukifanya jambo zuri kwa taifa wanakutunuku, na wewe huyo huyo utakapoharibu wanakukosoa. Hii ina maana gani? Hawana usabiki, ila huandika habari yakinifu, tofauti na uhuru na mzalendo. Hiyo ya kununuliwa inakuhusu wewe na kununuliwa kwako kumchafua Kubenea.
Kwanza hauna hata consistency katika hoja zako, mtu aliyenunuliwa anaweza akageuka na kuandika habari kame hii? Hebu angalia habari za uhuru na mzalendo.
"Mzimu wa Ricmond wamwandama Lowassa" katika toleo la jana huku akimpachika Jacob Daffi jukumu la kuiandika taarifa hiyo.
MY TAKE;
Kubenea hamchukii aliyekuwa, kama mtu binafsi, na huenda hana tatizi nae, yeye anazungumzia suala la Richmond. Anazungumza unafiki katika kupooza suala hilo kana kwamba ni mkuu pekeyake ndio alihusika. Kwanini mswada ulikufa haraka haraka, kama sio unafiki wa Ndioooo. Mwacheni. Hata yule nanihii alisema kuna mengi hatujasema, kasome hansadi.
Tutasoma sana Mwanahalisi.
KUNA UBAYA GANI MWANAHALISI KUANDIKA SITTA ALIUZIMA MJADALA WA DOWANS?????????