MwanaHalisi yamshambulia Sitta

MwanaHalisi yamshambulia Sitta

Usifikiri sie ni wageni nchi hii, Sitta alisitisha kujadiliwa kwa mjadala wa Richmund mpaka awepo kwa sababu kinyume na hiyo unayotaka kutudanganya hapa.
Hebu taja hiyo sababu tafadhali.
Uwa nakuheshimu sana kama Mzee mwenye Busara, lakini unapoanza kutudanganya watu wazima kwenye vitu vilivyowazi kabisa, vitu ambavyo ata mtoto wa darasa la 3 aliyeusikia mgogoro wa serikali na bunge katika utekelezaji wa maazimio ya kamati ya Mwakyembe anavijua, utakuwa unajivunjia heshima yako mwenyewe, jana umeombwa hapa uelezee huo ufisadi wa Sitta ukatokomea, leo unarudi tena na Ufisadi-Unafiki kwa hoja za uongo, hiyo sio stahili yako.
Je, Sitta na Mwakyembe wako CCM kwa sababu wanaipenda CCM ?
Najua unaipenda sana Chadema, lakini usikubali upenzi wako ukupofoshe akili, kwenye ukweli simama tu kwenye ukweli, na katika ukweli huo na walio gizani watauona mwanga, lakini kwa kuokoteza okoteza hoja hivi, am dissapointed, vinginevyo wewe ndiye utaonekana Mnafiki na mwenye gubu, uliyepofushwa macho kwa either upenzi wako au chuki yako.
Mimi Mag3 sifichi, sipo CCM kwa sababu siipendi CCM.
 
alieandika hii sredi akapimwe mirembe maana cjamuelewa alikuwa anamaanisha nn? au ni ole millya nini?
 
Hebu taja hiyo sababu tafadhali.

Je, Sitta na Mwakyembe wako CCM kwa sababu wanaipenda CCM ?

Mimi Mag3 sifichi, sipo CCM kwa sababu siipendi CCM.

....waulize watoto/wajukuu wako watakujibu bila shaka...

....Hilo ya Sitta na Mwakyembe halina hadhi ya kuwa swali, kama wanaipenda au hawaipendi ni suala lao binafsi kama lilivyo lako kwenye upenzi wako...

....Mie sijaruhusu na sintaruhu kujifungia kwenye box la chuki au upenzi kwa chama, ninauona ubovu na uzuri wa CCM kama pia ninavyouona ubovu na uzuri wa Chadema, kwangu mie Tanzania kwanza...
 
....waulize watoto/wajukuu wako watakujibu bila shaka...
Ahsante, it is nice to know kwamba huna jibu.
....Hilo ya Sitta na Mwakyembe halina hadhi ya kuwa swali, kama wanaipenda au hawaipendi ni suala lao binafsi kama lilivyo lako kwenye upenzi wako...
Basi hapa nitakusaidia;
Kama wanaipenda CCM, ni mafisadi (birds of a feather fly together)
Kama hawaipendi CCM, ni wanafiki (they want to eat their cake and have it)
Now there !
 
Ahsante, it is nice to know kwamba huna jibu.

Basi hapa nitakusaidia;
Kama wanaipenda CCM, ni mafisadi (birds of a feather fly together)
Kama hawaipendi CCM, ni wanafiki (they want to eat their cake and have it)
Now there !

...Nimekwambia waulize watoto au wajukuu ili ujishangae mwenyewe....

...Kwa kuwa umejifungia kwenye kachumba kadogo kanakoitwa "Mahaba kwa Chama", hautaweza kuona zaidi ya hivyo ulivyoona, lakini ukitoka nje ya hako kachumba kalikoubana ubongo na kupelekea moyo kufanya kazi ya ubongo, utaona kumbe upo kwenye nchi nzuri Tanzania, yenye watu wazuri na yenye watu wabaya pia waliosambaa kama mchanga wa bahari kwenye makabila, dini, vyama, ngo, mitaa na vilabu tofauti tofauti...

....Utawaona mamia ya watu makini na maelfu ya watu wabovu/wezi ndani ya CCM, utawaona makumi ya watu makini na maelfu ya wabovu/wezi ndani ya Chadema, kama utakavyowaona pia makumi ya watu makini na maelfu ya wabovu/wezi ndani CUF na NCCR, na list inaendelea...
 
...Nimekwambia waulize watoto au wajukuu ili ujishangae mwenyewe....

...Kwa kuwa umejifungia kwenye kachumba kadogo kanakoitwa "Mahaba kwa Chama", hautaweza kuona zaidi ya hivyo ulivyoona, lakini ukitoka nje ya hako kachumba kalikoubana ubongo na kupelekea moyo kufanya kazi ya ubongo, utaona kumbe upo kwenye nchi nzuri Tanzania, yenye watu wazuri na yenye watu wabaya pia waliosambaa kama mchanga wa bahari kwenye makabila, dini, vyama, ngo, mitaa na vilabu tofauti tofauti...

....Utawaona mamia ya watu makini na maelfu ya watu wabovu/wezi ndani ya CCM, utawaona makumi ya watu makini na maelfu ya wabovu/wezi ndani ya Chadema, kama utakavyowaona pia makumi ya watu makini na maelfu ya wabovu/wezi ndani CUF na NCCR, na list inaendelea...

Mkuu Butola nianze kwa kukuomba samahani sana kwa kutoweza kukusoma tangu awali. Pili naomba tuishie hapa, nimekubali umeshinda. Ndani ya CCM kuna watu wazuri tu kama akina Sitta na wengineo. Bahati mbaya nimeshindwa kuwaona kwa sababu nimejifungia ndani ya chumba unachokiita "Mahaba ya Chama" na itanibidi nitoke nje ya hako kachumba kalikonibana ubongo na kupelekea moyo wangu kufanya kazi ya ubongo wangu kumbe Tanzania ni nchi nzuri sana. Nashukuru sana tena sana kwa kutokuweza kuwaona watu wazuri na wabaya waliojaa nchini hapa kama mchanga.

Mna bahati sana mnaoyaona haya na kwa ushauri wako nitajaribu kutoka ndani ya hicho kichumba na mimi niweze kuyaona mazuri unayoyaona ili moyo wangu nao utulie kama wa Butola. Wahenga walisema "if it aint broken dont try to fix it", sasa sijui kiherehere gani hicho kilichonisukuma hadi nikafikiri kuna cha ku"fix". Kwa machache hayo natoa tena shukrani nyingi kwa kisomo ulichonipa na kama nitahitaji zaidi nitawauliza watoto/wajukuu wangu. Kweli umenifungua macho kuhusu hili taifa langu ambalo nimekuwa nikiiangalia kwa miwani yenye ukungu na watu wake kama Butola.

Ubarikiwe sana.
 
Kubenea angejitafutia chuo akasome na kuondokana na ukihiyo wake wa kuandikiwa makala. Ngurumo analijua sana hili. Kimsingi, Kubenea si mpambanaji bali mgangaji ambaye alipata umaarufu kutokana na kumwagiwa tindikali kwa kile kinachodaiwa kutembea na mke wa mtu ambaye anajulikana kuwa alikuwa akifanya kazi kwa Bakharessa. Kwa wanaomjua Kubenea tangu akiwa Habari Corporation wanashangaa huu umaarufu wa kiundishi unatoka wapi kwa mtu ambaye elimu yake ni ndogo hivyo. Anyway, ukipenda chongo huita kengeza. Kwa wanaomjua Kube watazidi kushangaa hadi siku Kubenea wa kweli-kihiyo na mgangaji njaa atakapofichuliwa. Ingawa mtoa hoja hakwenda mbali zaidi ya kutumia picha ambayo kimsingi, haionyeshi chochote bali salamu za kawaida ambazo hazigombi, kuna siku wanaomjua Kubenea wa kweli na ndoa yake na CCM ya kumpeleka India kila mwezi watasema na ataumbuka na wanaomuona shujaa watatafuta pa kuficha aibu.
Ni ajabu lead story kutoandikwa na Kubenea kwenye gazeti lililopita. Ukiona hivyo jua maji yanaanza kuzidi unga. Importantly, time will surely and accurately tell. When is that? Just soon and soon just soon.
 
Huu dhahiri ni ujuha na Upuuzi wa mwandishi wa thread kwa hiyo unataka watu wasisalimiane!!!!!
 
Unakumbuka Baada ya CCM kutangaza kujivua Gamba na Nape kutembelea Media House zote za Tanzania? Matokeo ya Visiting ile ni

A. Magazeti yafuatayo yalikataa kuimba Wimbo wa kujivua Gamba na sasa yamekua ni Maadui wa CCM-Sitta
1. Mwanahalisi
2. Mwananchi
3. Tanzania Daima

B. Magazeti yafuatayo yaliamua Kucheza Ngoma ya Kujivua Gamba ya akina nape
1. Raia Mwema ( Siku hizi nimeacha kulinunua)
2. Uhuru
3. Nipashe

Kwa Hiyo Kundi A limekuwa ni Adui mkubwa wa CCM-Sitta

Kwa hiyo umeacha kununua Raia mwema kwa kuwa linaunga mkono lowassa kuvuliwa gamba na unanunua kopi nyingi za mwanahalisi kwa kuwa haliungi mkono lowassa kuvuliwa gamba!!!!?
 
What is the evidence kwamba amenunuliwa? Au ndio utamaduni unaojengeka wa kuaminisha watu hisia kwamba ndio ukweli?
 
Mkuu Tanzania daima imeanza "kumshughulikia" samwel sitta siku nyingi tangu akiwa spika.

Mwananchi hawajabadili staili yao ya kuandika habari za kuvua gamba, labda hulisomi vizuri, wale wanapiga kwa miguu yote, isipokuwa rost tamu ndiye sijawahi kuona likimshughulikia, na sababu iko wazi sana.

kwahiyo sijaona dots ziki connect hapo.

Mwananchi kutomshambulia Rostam unadai "sababu iko wazi sana" sijakuelewa unachomaanisha au unadhani mwananchi ni gazeti la Rostam nini mzee?????kama jibu lako ni ndio naona utakua unachanganya taarifa!
 
Mtachonga saaana lakini msaliti Sitta lazima achambuliwe, mafisadi wengine pia lazima wagongwe, hakuna cha EL,RA, AC wala nani wote ni maadui wa taifa, hakuna jiwe litabaki bila kugeuzwa.Go Kubenea go.

Ingekua anafanya hivyo kusingekua na kelele mkuu,lakini haiko hivyo kabisa,kubenea mnampenda tu lakini hana mpango wowote yule mtoto wa kimafia!mtakuja kujuta nae huko mbele ndio mtakumbuka tunayowaambia tunaomjua
 
What is the evidence kwamba amenunuliwa? Au ndio utamaduni unaojengeka wa kuaminisha watu hisia kwamba ndio ukweli?

Yani hata wewe hujui kwamba kubenea anatumika na Lowassa licha ya uandishi wake kwa takribani miezi sasa kuwa wazi kabisa,basi kweli huyu kilaza wa standard seven angesoma angepata nafasi ya kwenda shule angekua mtu hatari sana,ok bwana endeleeni kumuamini kubenea wenu,mi nimenawa mikono maana naona zimeanza hadithi za makada wa ccm kila unapowaambia mahali fulani kuna ufisadi badala ya kuviagiza vyombo husika watakwambia wewe mwananchi ulete ushahidi!!!!!
 
What is the evidence kwamba amenunuliwa? Au ndio utamaduni unaojengeka wa kuaminisha watu hisia kwamba ndio ukweli?

The evidence ni kitendo chake cha kuwashambulia vinara wa vita dhidi ya ufisadi. Kila mtu anauheshimu mchango wa Sita na Mwakyembe katika kupingana na rushwa nchi hii.
 
mleta hoja kaja na moto wa kifuu. Hii habari ni ya kiushabiki zaidi
 
Kubenea angejitafutia chuo akasome na kuondokana na ukihiyo wake wa kuandikiwa makala. Ngurumo analijua sana hili. Kimsingi, Kubenea si mpambanaji bali mgangaji ambaye alipata umaarufu kutokana na kumwagiwa tindikali kwa kile kinachodaiwa kutembea na mke wa mtu ambaye anajulikana kuwa alikuwa akifanya kazi kwa Bakharessa. Kwa wanaomjua Kubenea tangu akiwa Habari Corporation wanashangaa huu umaarufu wa kiundishi unatoka wapi kwa mtu ambaye elimu yake ni ndogo hivyo. Anyway, ukipenda chongo huita kengeza. Kwa wanaomjua Kube watazidi kushangaa hadi siku Kubenea wa kweli-kihiyo na mgangaji njaa atakapofichuliwa. Ingawa mtoa hoja hakwenda mbali zaidi ya kutumia picha ambayo kimsingi, haionyeshi chochote bali salamu za kawaida ambazo hazigombi, kuna siku wanaomjua Kubenea wa kweli na ndoa yake na CCM ya kumpeleka India kila mwezi watasema na ataumbuka na wanaomuona shujaa watatafuta pa kuficha aibu.
Ni ajabu lead story kutoandikwa na Kubenea kwenye gazeti lililopita. Ukiona hivyo jua maji yanaanza kuzidi unga. Importantly, time will surely and accurately tell. When is that? Just soon and soon just soon.

Narudia na ntaendelea kusisitiza,List of shame ya wahariri wa bongo wanaopigana vikumbo kuwalamba miguu mafisadi:

1:Saed kubenea

2:Absalom Kibanda

3😀eo Balile

4:Muhingo Rweyemamu(alikua mratibu wa habari wa jk uchaguzi uliopita,sasa hivi ni secretary wa yusuf manji)

5:Jackton Manyerere(huwa anadai mjukuu wa mwl nyerere sijui kama kweli bwana)

Zamani kubenea alikua anawaponda kina Balile mpaka kuwaandia makala,sasa hivi kajiunga nao kufukuzia mkwanja wa Lowassa.

Wahariri wapiganaji wa kweli na wazalendo wa nchi hii waliobaki ni:

1:Ansbert Ngurumo

2:Mbaraka Islam(huyu rafiki yake sana kubenea lakini kwenye hili la kuwalamba miguu mafisadi naona amekataa kula matapushi yake)

3:Evarist Mwitumba

4:Mzee Ndimara Tegambwage

5:Gideon shoo

6:Hamis Kibari

7:Mzee mwanakijiji
 
tatizo si kusalimiana kwa tamaduni zetu za kitanzania huwezi kwenda kwenya shughuli na kusalimia watu wote na kumruka mwingine , kumbe nawewe ulikuwepo katika msiba huu. kubenea alisalimu watu wote kuanzia mwanzo wa mstari mpaka mwisho kwahiyo hakukuwa na sababu ya kutosalimu watu wengine

wote tunaishi katika taifa huru usiache kumsalimu jiradi yako sababu ni jambazi
 



Nilipojitokeza hadharani kwa mara ya kwanza kupinga vikali imani iliyokuwa inaenezwa mithili ya moto usaambaao kwenye nyasi kavu kuwa eti Saed Kubenea ni mpambanaji wa kweli. Nilijitokeza kwenye majukwaa kadhaa ikiwa ni pamoja na Mwanahalisi wenyewe kukanusha vikali imani hii ambayo niliamini kuwa ni upuuzi mtupu lakini pia nikaahidi kwa kusema "time will tell"

Ikiwa takribani ni miaka sita sasa ni dhahiri kabisa kuwa kile ambacho nilikibashiri sasa ndicho kinatokea na labda niseme wazi huu ni mwanzo tu kaeni mkao wa kula kwa maana kuna atakayekula kabisa matapishi yake. Wafatiliaji wa gazeti la Mwanahalisi hususani mwandishi Saed Kubenea sasa kwa kujua au kutojua naona wote kwa umoja wao wanaungana na mimi kuwa "bei yake " imefika na sasa amenunuliwa.

Kwa mantiki hii nimekusudia kusema "kweli" yote kuhusu Saed Kubenea, ukweli wenyewe ni huu kwa mchezo aliofanya jana kwenye kichwa cha habari cha nje hakuna ubishi kuwa amepata sifuri mtihani huo. Sababu za kuyasema haya ziko wazi kama ifuatavvyo;

1.Alichofanya Samwel Sitta kumtuhumu kwenye kipindi cha dakika 45 ilikuwa ni kama kuchokoza nyuki
2.Baada ya kutuhumiwa Kubenea akaanza mashambulizi na matusi kedekede dhidi ya Sitta
3.Kwa vile Mungu alishapanga kumuumbua akajikuta mara moja amefanya mchezo wa kitoto kwa kutaka kuuaminisha umma wa Tanzania kuwa hajanunuliwa eti kwa kuibuka na kichwa kikubwa cha habari "Mzimu wa Ricmond wamwandama Lowassa" katika toleo la jana huku akimpachika Jacob Daffi jukumu la kuiandika taarifa hiyo.

MY TAKE;
Kwa vile yeye (Kubenea)amejiumbua mwenyewe tena kwa mbinu rahisi za kujifanya bado yuko ngangari dhidi ya Lowassa, sasa na tuseme enough is enough kwani sasa imetosha, atuache tujitafutie habari wenyewe kuliko kupika habari hizo kwenye vyumba vya "mafisadi" kisha kutaka kutunywesha, sisi kama watu huru na wazalendo tunasema, kwa hili kubenea umepata zero na tunaweka "BIG NO!


Kaka sio wewe tu nilishasema sana humu na kuishia kutukanwa

1. Kubenea ni mwana CCM, na uchaguzi uliopita alitaka kugombea ubunge huko kilwa au mafia na kujitoa dakika za mwisho
2. Kubenea alijitahidi sana kuiua chadema kwa kumwandika zito vibaya , ili wanachadema wengi hawakuliona na wakamrarua zito vibaya ( niliulalamika sana hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/92369-zitto-aisumbua-chadema%3B-chama-chafikiri-namna-ya-kumdhibiti-6.html#post1324607)

3. Kubenea amejitahidi sana kuaaminisha umma kuwa alimwagiwa tindikali kwa sababu ya ufisadi ukweli anaujua mwenyewe, (mke wa mtu sumu!) kubenea mpaka leo hajaweza kuuelezea umma ni FISADI GANI ALIFANYA HIVYO, japo wamwagaji wa tindikali walikamatwa!!!

4. Kubena huwa anaandika habari za kikwete kwa mlengo mmoja tu, kumwonyesha kuwa ni mpiganaji wa ufisadi na wanaomkwamisha ni watu wake wa chini

5. Kubenea huyu, habari zake nyingi hazina vithibitisho ila ni imaginary na ku-create matatizo mengi

NI MJASIRIAMALI, AMETUMIA WAKATI NA NYAKATI HIZI, AMESOMA WATANZANIA WENGI WANATAKA NINI, AMEENDA VILE WATANAZANIA WANAVYOTAKA NA LEO HII AMEKUWA TAJIRI ILI HALI UKIWAULIZA WASOMAJI WA MWANAHALISI wanagain nini? ni umbeya...ila umbeya wa kisiasa which is very unique and intersting kuliko umbeya wa kimapenzi na ma-star!
 
Back
Top Bottom