KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
Kubenea ni jembe lililowafunuwa Watz na kuwafanya chupi za mijizi ya CCM kuwaka moto. Wanavyomuandama, ni sababu tosha kabisa kwamba kwashika pabaya sana, kuanzia top wao JK kwenda chini.
Wanahaha hovyo hawajui wasemalo, wala wafanyalo. haya tena madudu mengine ya TIB haya hela zilizorejeshwa zachotwa. Kubenea alilianzisha hili kwa kuwataja wezi hawa katika gazeti lake mwaka 2007 orodha ya wezi 11 kuanzia JK. hakuna gazeti jingine lilikuwa na balls la kutraja majina hayo.
Kubenea ni mkombozi wa wanyonge -- HONGEERA SAANA. ENDELEA NA NYUNDO ZAKO!
We kweli uko mbali na ukweli,kubenea unamtenganisha vipi na ccm wakati ni mwanachama hai wa magamba lakini kama unavyojua ccm imegawanyika mara mbili,pro-magamba na anti-magamba,kubenea yeye kaamua kuchagua kundi la pro-magamba,ili upate picha na kuelewa zaidi nini nasema ntakutajia wajumbe angalau waandamizi wa magenge yote hayo mawili:
CCM Pro magamba:genge la Lowassa
1:Januari makamba
2😛eter Serukamba
3:Makongoro mahanga
4:James ole millya
5:Msomali Bashe
6:Benno Malisa
7:Said kubenea
8:Absalom kibanda(huyu sio ccm naona "kiu ya maendeleo" ya haraka imemsukuma)
9:Freddy Lowassa
10:Rostam Aziz
11:Beatrice Shelukindo(huyu nae kiu ya uwaziri alioahidiwa na lowassa ndio imempeleka huko,akamsaliti hata mumewe mzee shelukindo)
CCM anti-magamba
1:Nape Nnauye
2:Sam Six
3:John Magufuli
4:John Chiligati
5:wakuu wote wapya wa mikoa walioteuliwa hivi karibuni
6:Wazee wa nyerere foundation
7:Bernard Membe
8:Harrison Mwakyembe
9:Lazaro Nyalandu(huyu anasukumwa na kiu ya kuutaka urais,unajua wengi wameona kama jk ameweza kuwa rais basi kila m2 anaweza)
Angalau kwa uchache muwafahamu hao.