MwanaHalisi yamshambulia Sitta

MwanaHalisi yamshambulia Sitta


Kubenea ni jembe lililowafunuwa Watz na kuwafanya chupi za mijizi ya CCM kuwaka moto. Wanavyomuandama, ni sababu tosha kabisa kwamba kwashika pabaya sana, kuanzia top wao JK kwenda chini.

Wanahaha hovyo hawajui wasemalo, wala wafanyalo. haya tena madudu mengine ya TIB haya hela zilizorejeshwa zachotwa. Kubenea alilianzisha hili kwa kuwataja wezi hawa katika gazeti lake mwaka 2007 orodha ya wezi 11 kuanzia JK. hakuna gazeti jingine lilikuwa na balls la kutraja majina hayo.

Kubenea ni mkombozi wa wanyonge -- HONGEERA SAANA. ENDELEA NA NYUNDO ZAKO!

We kweli uko mbali na ukweli,kubenea unamtenganisha vipi na ccm wakati ni mwanachama hai wa magamba lakini kama unavyojua ccm imegawanyika mara mbili,pro-magamba na anti-magamba,kubenea yeye kaamua kuchagua kundi la pro-magamba,ili upate picha na kuelewa zaidi nini nasema ntakutajia wajumbe angalau waandamizi wa magenge yote hayo mawili:


CCM Pro magamba:genge la Lowassa

1:Januari makamba

2😛eter Serukamba

3:Makongoro mahanga

4:James ole millya

5:Msomali Bashe

6:Benno Malisa

7:Said kubenea

8:Absalom kibanda(huyu sio ccm naona "kiu ya maendeleo" ya haraka imemsukuma)

9:Freddy Lowassa

10:Rostam Aziz

11:Beatrice Shelukindo(huyu nae kiu ya uwaziri alioahidiwa na lowassa ndio imempeleka huko,akamsaliti hata mumewe mzee shelukindo)

CCM anti-magamba

1:Nape Nnauye

2:Sam Six

3:John Magufuli

4:John Chiligati

5:wakuu wote wapya wa mikoa walioteuliwa hivi karibuni

6:Wazee wa nyerere foundation

7:Bernard Membe

8:Harrison Mwakyembe

9:Lazaro Nyalandu(huyu anasukumwa na kiu ya kuutaka urais,unajua wengi wameona kama jk ameweza kuwa rais basi kila m2 anaweza)

Angalau kwa uchache muwafahamu hao.
 
Watanzania bwana, watu wamekubuhu kwa uwongo. Ni kwa sababu, taifa halina maadili.

Mtu mzima anaandika Kubenea kanunuliwa kwa sababu, eti amekutwa akisalimiana na Lowassa?

Mimi nilikuwapo siku ambayo picha hii imepigwa. Ilikuwa ni kwenye msiba wa Dany Mwakiteleko, ambapo Kubenea aliingia hapo na kumkuta Lowassa akiwa amefika kuhani. Sasa ulitaka asiende kumsalimia? Hata kama kuna ugomvi kiasi gani, kulikuwa hakuna njia ya kutoenda kumsalimia.

Huyu jamaa alivyokubuhu kwa uwongo, anamtaja Ngurumo kwamba anamjua vema Kubenea, kwamba hakwenda shule. Lakini hasemi amesoma kwa kiwango gani.

Lakini hata kama hakwenda shule kwa kiwango cha Chuo Kikuu, lakini anachokifanyia taifa ni kikubwa kuliko hao waliopata elimu – waliohesabu madarasa.

Kisha mtoa mada anasema ‘Kubenea anatoka Mafia.” Ana uhakika na hilo? Mimi najua wapo watu humu ndani, kazi yao kuchafua wenzao. Ndiyo hao waliowahi kuandika humu ndani Kubenea kwenda kugombea ubunge Mafia.

Uchaguzi umekwisha hakuoenekana na mpaka leo hajaonekana huko.

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Kubenea ni mmoja wa vijana wachache waliofanikiwa kuanzisha gazeti na kuleta mabadiliko nchini…

Umemamua kujitoa akili makusudi,unajua kabisa issue sio picha hapa,sema unajaribu kupotosha makusudi,kwa kuwa kama umeweza kuwasha computer na kuweka maneno yako humu ni wazi unayo akili angalau ya kujua kusoma na kuandika hata kwa kiswahili tu!acha upotoshaji taifa liko ICU kwa ajili ya Lowassa na genge lake linaloungwa mkono na Kubenea wako!
 

Kubenea ni jembe lililowafunuwa Watz na kuwafanya chupi za mijizi ya CCM kuwaka moto. Wanavyomuandama, ni sababu tosha kabisa kwamba kwashika pabaya sana, kuanzia top wao JK kwenda chini.

Wanahaha hovyo hawajui wasemalo, wala wafanyalo. haya tena madudu mengine ya TIB haya hela zilizorejeshwa zachotwa. Kubenea alilianzisha hili kwa kuwataja wezi hawa katika gazeti lake mwaka 2007 orodha ya wezi 11 kuanzia JK. hakuna gazeti jingine lilikuwa na balls la kutraja majina hayo.

Kubenea ni mkombozi wa wanyonge -- HONGEERA SAANA. ENDELEA NA NYUNDO ZAKO!

Eti kubenea jembe! labda jembe la kukokotwa na ng'ombe...kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza kinene na mvua kubwa ya mawe yenye radi zenye hasira!haya bwana endeleeni kulikokota hilo jembe lenu mmalize kulima shamba la bwana mkubwa Ngonyani Lowassa...
 
Kubenea kanunuliwa siku nyingi na mafisadi, ndio mabwana zake wapya. Hapo anamsalimia fisadi Lowassa kwa unyenyekevu kama mke amsalimiapo mume wake. Habari yenyewe ya wiki hii yenye kuhusu Richmond kumwandama Lowassa ni ya kinafiki. Ni danganya toto eti kutaka watu wadhani kuwa bado anaendelea kumgonga Lowassa, ndani ya habari yenyewe kaandika utumbo mtupu kuwa eti serikali nzima ndio iliyohusika na Richmond badala ya kusema ukweli kuwa wahusika wakuu wa rushwa hii ni Edward Lowassa, Rostam Aziz na Nazir Karamagi.

Kubenea ana roho nyepesi kama kuku, ndio maana kanunuliwa na mafisadi na sasa anaelekea kufilisika.

wewe uko kundi la Sitta
 


Kaka sio wewe tu nilishasema sana humu na kuishia kutukanwa

1. Kubenea ni mwana CCM, na uchaguzi uliopita alitaka kugombea ubunge huko kilwa au mafia na kujitoa dakika za mwisho
2. Kubenea alijitahidi sana kuiua chadema kwa kumwandika zito vibaya , ili wanachadema wengi hawakuliona na wakamrarua zito vibaya ( niliulalamika sana hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/92369-zitto-aisumbua-chadema%3B-chama-chafikiri-namna-ya-kumdhibiti-6.html#post1324607)

3. Kubenea amejitahidi sana kuaaminisha umma kuwa alimwagiwa tindikali kwa sababu ya ufisadi ukweli anaujua mwenyewe, (mke wa mtu sumu!) kubenea mpaka leo hajaweza kuuelezea umma ni FISADI GANI ALIFANYA HIVYO, japo wamwagaji wa tindikali walikamatwa!!!

4. Kubena huwa anaandika habari za kikwete kwa mlengo mmoja tu, kumwonyesha kuwa ni mpiganaji wa ufisadi na wanaomkwamisha ni watu wake wa chini

5. Kubenea huyu, habari zake nyingi hazina vithibitisho ila ni imaginary na ku-create matatizo mengi

NI MJASIRIAMALI, AMETUMIA WAKATI NA NYAKATI HIZI, AMESOMA WATANZANIA WENGI WANATAKA NINI, AMEENDA VILE WATANAZANIA WANAVYOTAKA NA LEO HII AMEKUWA TAJIRI ILI HALI UKIWAULIZA WASOMAJI WA MWANAHALISI wanagain nini? ni umbeya...ila umbeya wa kisiasa which is very unique and intersting kuliko umbeya wa kimapenzi na ma-star!

mkuu kwanini anapotajwa Zitto unakasirika mpaka kupandisha povu? Mwanahalisi ndilo gazeti bora Tanzania.
 
Eti kubenea jembe! labda jembe la kukokotwa na ng'ombe...kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza kinene na mvua kubwa ya mawe yenye radi zenye hasira!haya bwana endeleeni kulikokota hilo jembe lenu mmalize kulima shamba la bwana mkubwa Ngonyani Lowassa...

kundi la Sitta mtahangaika sana mwaka huu.
 
Hivi Ofisi ya Spika iliyoko Urambo nani anaitumia sasa. Hiki Kibabu kilidhani kitakuwa Spika wa Milele, Kimrithishe Mke wake, Mtoto wake na wajukuu zake. Huyu hana Tofauti na Gadafi aliyeamua Kujenga Makao Makuu ya AU kwao Siirte

...Last time i checked kuna ofisi ya Spika mjini Dodoma na ofisi ndogo mjini Dar es Salaam, sasa hiyo ofisi ya Spika wa Bunge wilayani Urambo imejengwa lini tena?hii ni habari mpya hii, ata ofisi ya Bunge na Serikali kuu hawana hii taarifa...

Ebu utupe hapa data za kuthibitisha uwepo wa Ofisi hiyo wilayani Urambo au uombe msamaha kwa kuleta habari ya uongo, ndio ustaarabu..
 
We kweli uko mbali na ukweli,kubenea unamtenganisha vipi na ccm wakati ni mwanachama hai wa magamba lakini kama unavyojua ccm imegawanyika mara mbili,pro-magamba na anti-magamba,kubenea yeye kaamua kuchagua kundi la pro-magamba,ili upate picha na kuelewa zaidi nini nasema ntakutajia wajumbe angalau waandamizi wa magenge yote hayo mawili:


CCM Pro magamba:genge la Lowassa

1:Januari makamba

2😛eter Serukamba

3:Makongoro mahanga

4:James ole millya

5:Msomali Bashe

6:Benno Malisa

7:Said kubenea

8:Absalom kibanda(huyu sio ccm naona "kiu ya maendeleo" ya haraka imemsukuma)

9:Freddy Lowassa

10:Rostam Aziz

11:Beatrice Shelukindo(huyu nae kiu ya uwaziri alioahidiwa na lowassa ndio imempeleka huko,akamsaliti hata mumewe mzee shelukindo)

CCM anti-magamba

1:Nape Nnauye

2:Sam Six

3:John Magufuli

4:John Chiligati

5:wakuu wote wapya wa mikoa walioteuliwa hivi karibuni

6:Wazee wa nyerere foundation

7:Bernard Membe

8:Harrison Mwakyembe

9:Lazaro Nyalandu(huyu anasukumwa na kiu ya kuutaka urais,unajua wengi wameona kama jk ameweza kuwa rais basi kila m2 anaweza)

Angalau kwa uchache muwafahamu hao.

HONGGERA UMEJARIBU KUCHAMBUA VIZURI ILA HUYU Januari makambaNADHANI BADO HAUJAMJUA VIZURI...HUYO YUPO PANDE ZOTE MBILI, ANACHUKUA HABARI KUTOKA KUNDI MOJA NA ANAPELEKA LINGINE...WOTE WANAAMINI YUPO KUNDI LAO...LAKE NI KUWA YEYOTE ATAKAYESHINDA BASI ATAAMINI PIA KULETA KWAKE HABARI ZA KUNDI LILILOSHINDWA LIMESAIDIA LILILOSHINDA
 
JF sio kijiwe cha majungu.Ni dhahiri Magamba kuna makundi mawili,kundi la Sitta na kundi la Lowassa.Wewe umejionyesha uko kundi la Sitta ambao ni wapinga ufisadi bandia.Mbona kundi la Sitta limenunua Raia Mwema hatusemi? Usijidanganye hakuna gazeti linalofikia kwa habari kali na za uchunguzi Tanzania kama mwanahalisi.

Ahaa kwa hiyo unakubaliana na mleta thread kwamba mwanahalisi limenunuliwa na Ngonyani Lowassa lakini pia unatukumbusha kuwa hata raia mwema nalo limenunuliwa na sitta sio?halafu mwisho ndio umemaliza kabisa kusema gazeti la mwanahalisi ambalo mwanzo indirectly umekiri kufahamu kwamba limenunuliwa na lowassa lina "habari kali na za uchunguzi",hapa wewe mwenyewe utuambie unaonyesha picha gani kukuhusu wewe na lowassa?????
 
HONGGERA UMEJARIBU KUCHAMBUA VIZURI ILA HUYU Januari makambaNADHANI BADO HAUJAMJUA VIZURI...HUYO YUPO PANDE ZOTE MBILI, ANACHUKUA HABARI KUTOKA KUNDI MOJA NA ANAPELEKA LINGINE...WOTE WANAAMINI YUPO KUNDI LAO...LAKE NI KUWA YEYOTE ATAKAYESHINDA BASI ATAAMINI PIA KULETA KWAKE HABARI ZA KUNDI LILILOSHINDWA LIMESAIDIA LILILOSHINDA

Ngoja nitafuatilia kwa kina,lakini mimi ninavyomjua huyu hapindui kwa Rostam.....ni mfuasi mtiifu wa Rostam,zamani alikua kijana mwaminifu wa jk,lakini baadae baada ya lowassa kuondoka serikalini ikaja kuonekana anamuuza jk kwa kina lowassa kwa kupeleka habari za kila hatua anayotaka kuchukua muungwana dhidi ya maswahiba zake hao,jk alikua anamuamini sana huyu kijana,toka kipindi cha kampeni za 2005 na ndie aliyetengeneza ile kauli mbiu ya kisanii "ari mpya nguvu mpya kasi mpya"!lakini baadae hasa baada ya membe na ridhiwani kumshika masikio muungwana kuhusu ujanja ujanja wa dogo januari ndio jk akamtosa mazima,hata ile mipango ya kumpa wizara ya nishati ambayo amekua akiiota ikayeyuka kwa fitn za ridhi na membe,ndio maana dogo ana hasira na wizara ya nishati kupita maelezo....
 
We romantic kila thread inayomhusu sita umo. ila ukweli ni kuwa sita is just political hypocrite who want to play hero.
si kwamba hana mazuri anayo lakini hizo hadhi anazotaka tumuweke kwenye upambanaji sio. ni muoga anayetimiza matakwa ya mafisadi au kufisadi akipata nafasi kama alivojenga ofisi ya spika urambo na kutetea mishahara mikubwa ya wabunge na posho za kifisadi. kwa kifupi mnafiki.
 
Kubenea, Kibanda na wengine tunawapongeza kwa jitihada zenu na muendelee kuwafinua hawa wanafiki wajiunge na kundi la mafisadi wenzao kina JK, Rachael na wengine. tukiwaacha ni kusema mtama nao ni mahindi shambani kws kuwa zote zina rangi ya kijani.
ETI KUANIKA UNDUMILA KUWILI WA SITA eti umeajiriwa na Rachael. Navojua na Kibanda. kubenea hawawapambi kina sita vilevile wanawachana Rachael vilevile. Wakina sita wajue hakuna kuuma na kupuliza. ukiamua kuwa mpiganaji wa ufisadi uwe hivo sio unapigana ukiona wenzako wanagawiana mibrifkesi ya pesa unaacha kupigana unaenda kujipanga upewe cheo na hao mafisadi ili ule. Pumbaff!!!!!!!!!!!
 
Kubenea, Kibanda na wengine tunawapongeza kwa jitihada zenu na muendelee kuwafinua hawa wanafiki wajiunge na kundi la mafisadi wenzao kina JK, Rachael na wengine. tukiwaacha ni kusema mtama nao ni mahindi shambani kws kuwa zote zina rangi ya kijani.
ETI KUANIKA UNDUMILA KUWILI WA SITA eti umeajiriwa na Rachael. Navojua na Kibanda. kubenea hawawapambi kina sita vilevile wanawachana Rachael vilevile. Wakina sita wajue hakuna kuuma na kupuliza. ukiamua kuwa mpiganaji wa ufisadi uwe hivo sio unapigana ukiona wenzako wanagawiana mibrifkesi ya pesa unaacha kupigana unaenda kujipanga upewe cheo na hao mafisadi ili ule. Pumbaff!!!!!!!!!!!

Naona una bidiii kweli kuwaonesha nawewe unatetea mafisadi ili mambo yakikubali wakuvute jikoni nawe ule japo makombo... Kila la heri labda
watakunotice.
 
Kubenea, Kibanda na wengine tunawapongeza kwa jitihada zenu na muendelee kuwafinua hawa wanafiki wajiunge na kundi la mafisadi wenzao kina JK, Rachael na wengine. tukiwaacha ni kusema mtama nao ni mahindi shambani kws kuwa zote zina rangi ya kijani.
ETI KUANIKA UNDUMILA KUWILI WA SITA eti umeajiriwa na Rachael. Navojua na Kibanda. kubenea hawawapambi kina sita vilevile wanawachana Rachael vilevile. Wakina sita wajue hakuna kuuma na kupuliza. ukiamua kuwa mpiganaji wa ufisadi uwe hivo sio unapigana ukiona wenzako wanagawiana mibrifkesi ya pesa unaacha kupigana unaenda kujipanga upewe cheo na hao mafisadi ili ule. Pumbaff!!!!!!!!!!!

Umeongea vizuri sana,sipo hapa kumtetea sitta,kwanza hanijui wala sitaki kujuana nae na mimi simjui zaidi ya kumuona majukwaani,ila kubenea namjua ananijua yani tunajuana na tulikuwa wote kwenye upambanaji sasa ukiona mwenzako anatoka nje ya mstari na umefanya jitihada za kumrejesha anakua mkaidi ndio unakuja hapa jukwaani
 
We kweli uko mbali na ukweli,kubenea unamtenganisha vipi na ccm wakati ni mwanachama hai wa magamba lakini kama unavyojua ccm imegawanyika mara mbili,pro-magamba na anti-magamba,kubenea yeye kaamua kuchagua kundi la pro-magamba,ili upate picha na kuelewa zaidi nini nasema ntakutajia wajumbe angalau waandamizi wa magenge yote hayo mawili:


CCM Pro magamba:genge la Lowassa

1:Januari makamba

2😛eter Serukamba

3:Makongoro mahanga

4:James ole millya

5:Msomali Bashe

6:Benno Malisa

7:Said kubenea

8:Absalom kibanda(huyu sio ccm naona "kiu ya maendeleo" ya haraka imemsukuma)

9:Freddy Lowassa

10:Rostam Aziz

11:Beatrice Shelukindo(huyu nae kiu ya uwaziri alioahidiwa na lowassa ndio imempeleka huko,akamsaliti hata mumewe mzee shelukindo)

CCM anti-magamba

1:Nape Nnauye

2:Sam Six

3:John Magufuli

4:John Chiligati

5:wakuu wote wapya wa mikoa walioteuliwa hivi karibuni

6:Wazee wa nyerere foundation

7:Bernard Membe

8:Harrison Mwakyembe

9:Lazaro Nyalandu(huyu anasukumwa na kiu ya kuutaka urais,unajua wengi wameona kama jk ameweza kuwa rais basi kila m2 anaweza)

Angalau kwa uchache muwafahamu hao.

Duh.......! Hadi haya unayajua mkuu?

mkuu kwanini anapotajwa Zitto unakasirika mpaka kupandisha povu? Mwanahalisi ndilo gazeti bora Tanzania.

Wewe Inakukera nini ?Mwache atoe mawazo yake......!
 
Shutuma za Sitta dhidi ya Kubenea kwamba sasa kanunuliwa na mafisadi kama alivyozitoa katika kipindi chake katika ITV zimejibiwa na na gazeti hilo wiki hii katika tahriri yake iliyoanzia ukurasa wa mbele.

Kubenea anataka kuonekana ni jembe lisilotetereka katika kuwaumbua mafisadi na wale wanaofuatilia kwa makini stori za gazeti hilo watagundua kwamba hana marafiki, na hasa wa mafisadi, wapambe wao na wote wale manafiki wanaojifanya kuupiga vita ufisadi, kumbe wao ndiyo mafisadi wakuu.
 
Shutuma za Sitta dhidi ya Kubenea kwamba sasa kanunuliwa na mafisadi kama alivyozitoa katika kipindi chake katika ITV zimejibiwa na na gazeti hilo wiki hii katika tahriri yake iliyoanzia ukurasa wa mbele.


Kubenea anataka kuonekana ni jembe lisilotetereka katika kuwaumbua mafisadi na wale wanaofuatilia kwa makini stori za gazeti hilo watagundua kwamba hana marafiki, na hasa wa mafisadi, wapambe wao na wote wale manafiki wanaojifanya kuupiga vita ufisadi, kumbe wao ndiyo mafisadi wakuu.

Gazeti la lini hilo?
 
Shutuma za Sitta dhidi ya Kubenea kwamba sasa kanunuliwa na mafisadi kama alivyozitoa katika kipindi chake katika ITV zimejibiwa na na gazeti hilo wiki hii katika tahriri yake iliyoanzia ukurasa wa mbele.

Kubenea anataka kuonekana ni jembe lisilotetereka katika kuwaumbua mafisadi na wale wanaofuatilia kwa makini stori za gazeti hilo watagundua kwamba hana marafiki, na hasa wa mafisadi, wapambe wao na wote wale manafiki wanaojifanya kuupiga vita ufisadi, kumbe wao ndiyo mafisadi wakuu.
Hujui ulisemalo. Nchi hii balaa tupu. Mafisadi wanajuana kwa majina kuanzia Lowasa hadi Zitto,mkullo hadi sitta,Kubenea hadi Rostam. Ubatili mtupu
 
Back
Top Bottom