Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,502
- 86,050
kwani nani kapinga kuwa sio Raisi?? tunazungumzia utendaji wake sio urais wake.......huwezi leo ukasema hiki kesho unajipinga au unaanzisha mada ambazo zimejaa migogoro ndani yake......mimi binafsi nitoe kati ya hao watakaokuja kusema hivyo unavyoona wewe.
endeleeni kumshambulia huyu ndugu lakini naaamin kama tutakuwa hai tutakuja kukugundua JAMAA ALIKUWA RAIS.........sasa hivi tumekuwa na ushabiki tu na uhalisia umewekwa pembeni...
MINGU IBARIKI TANZANIA