Mwanahalisi kumtusi na kumkejeli Rais, je ni haki?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
" KIKWETE KIGEUGEU"

Mwandishi Saed Kubenea


Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?

Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani


Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
 
&amp;quot; KIKWETE KIGEUGEU&amp;quot;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mwandishi Saed Kubenea&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais&lt;br /&gt;<br />
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu&lt;br /&gt;<br />
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
unasema gazeti limeanza kuwa la udaku, sijui unaweza kuniambia ni gazeti gani la udaku linaloweza kutoa hbr kama hyo. Go go go Kubenea all the way ur unstopable.
 
" KIKWETE KIGEUGEU"

Mwandishi Saed Kubenea


Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?

Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani


Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku

Wewe ndo huelewi Kiswahili. Tusi liko wapi hapo?

KIGEUGEU ni mtu asiye na msimamo (Inconstant), mtu anayebadilikabadilika. Pia inaweza kutumika kumaanisha mwongo (deceitful). Kama unasema jambo fulani leo, na kesho ukalikana maana yake ni mwongo, kigeugeu.

Sasa wewe tueleze matusi yako wapi? mtu akiambiwa ni mwongo au kigeugeu ni tusi.
 
" KIKWETE KIGEUGEU"

Mwandishi Saed Kubenea


Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu
?

Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani


Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku

sasa kama ndo ukweli wenyewe na haitakiwi nchi kuongozwa na Raisi kigeugeu ina maana nchi yetu haina Rais!! au Kiongozi mwenye sifa ya ukigeu geu apewe jina gani tofauti na Raisi!!??
 
&quot; KIKWETE KIGEUGEU&quot;<br />
<br />
Mwandishi Saed Kubenea<br />
<br />
<br />
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais<br />
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu<br />
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?<br />
<br />
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani<br />
<br />
<br />
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
<br />
<br />
wewe ni job ndugai au bibi kiroboto?
 
" KIKWETE KIGEUGEU"

Mwandishi Saed Kubenea


Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?

Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani


Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku

Wewe ndiyo una nia mbaya na Rais unataka aumbuke kwa kutaka kubenea ashtakiwe, kwasababu Mahakama itamtaka asibitishe si ndo itakuwa balaa atakapothibitisha ukigeugeu wa kikwete??. Hata mimi namtusi Rais kwamba Kikwete ni muongo mkubwa na nikishtakiwa kwa hili nitathibitisha pia
 
Kuna wimbo wa mkenya mmoja unaitwa KIGEUGEU. Jamaa amemlaumu mpaka PAKA wake kuwa anamgeukia. Eti alimtuma ale PANYA, yeye si akaanza kula SAMAKI. Same applies to JK; tulimtuma alete maisha bora, yeye akaanza kuleta usharobaro ikulu.
 
" KIKWETE KIGEUGEU"

Mwandishi Saed Kubenea


Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?

Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani


Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
Nimefuatilia thridi unazoanzisha hapa jf nimegundua kuwa unamatatizo.
umesoma tu heading kwenye hilo gazeti bila kusoma kilicho andikwa na kuja kupost upupu hapa jf.
Nakuna baadhi ya watu naona mnaendana humu jf kama rejao,naye anachangia upupu bila kusoma hilo gazeti,kwa maneno mengine anadandia treni kwa mbele.
Mbaya sana hii kitu ya kupost upupu ili tu kuweza kudanganya umma na wana jf kwa ujumla(hasa wale ambao sio waelewa)
 
Back
Top Bottom