" KIKWETE KIGEUGEU"
Mwandishi Saed Kubenea
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
<br />kwani ukiambiwa kigeugeu ni tusi?.......after all si ndio ukweli wenyewe!!!!!!
<br />" KIKWETE KIGEUGEU"<br />
<br />
Mwandishi Saed Kubenea<br />
<br />
<br />
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais<br />
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu<br />
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?<br />
<br />
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani<br />
<br />
<br />
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku
<br />" KIKWETE KIGEUGEU"<br />
<br />
Mwandishi Saed Kubenea<br />
<br />
<br />
Sheria ya nchi iko wazi kwa mtu yeyote kumtusi Rais ,Mtikila alifunguliwa mashitaka kwa kumtusi Rais<br />
Kwa maneno haya Mwandishi Saed kubenea anapeleka taarifa kwa watanzania kuwa nchi ina Rais kigeugeu<br />
Je nchi inaweza kuongozwa na Rais kigeugeu?<br />
<br />
Huu ni uandishi wa namna gani? hili gazeti inabidi lichukuliwe hatua za kusheria na mwandishi huyu afikishwe mahakamani<br />
<br />
<br />
Gezeti limepoteza muelekeo limeanza kuwa na mambo ya kidaku daku