Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefuatilia thridi unazoanzisha hapa jf nimegundua kuwa unamatatizo.
umesoma tu heading kwenye hilo gazeti bila kusoma kilicho andikwa na kuja kupost upupu hapa jf.
Nakuna baadhi ya watu naona mnaendana humu jf kama rejao,naye anachangia upupu bila kusoma hilo gazeti,kwa maneno mengine anadandia treni kwa mbele.
Mbaya sana hii kitu ya kupost upupu ili tu kuweza kudanganya umma na wana jf kwa ujumla(hasa wale ambao sio waelewa)
Kama unataka kutuambia kusema ukweli ndiyo maana ya matusi, basi kweli ametukanwa. Lakini kama kusema ukweli inamaanisha kuzungumza jambo la kweli linalojitokeza, basi sioni hoja yako kuwa na mantiki. Ukigeugeu wa Rais JK unaonekana kwenye sura nyingi za uongozi wake...hata suala la kupunguza na kuongeza bei ya mafuta ya taa ni ukigeugeu...mwanzoni ni baraza la mawaziri lililoridhia kupandishwa bei kwa mafuta ya taa...nani mwenyekiti wa baraza la mawaziri? JK! Kamati kuu inakaa na kusema bei ya mafuta ishushwe, mh.JK anasema sawa! Siyo ukigeugeu ni nini huo?
Juzi alisema barabara ya lami itapitishwa Serengeti watu wakapiga makofi, leo anaenda bondeni anasema yeye ni mwanamazingira nambari moja kwa hiyo hataweza kuruhusu barabara ipitie Serengeti..huo siyo ukigeugeu?
We regret having a multifaced President who will never be trusted by whatever he promises. He is a chameleon type and a liar!
Urais hauna hadhi tena Tanzania, anybody can be a President, hata Leodgar Tenga nae ni Rais, Madee yeye Rais ni wa Manzese na Mkwerre yeye ni Rais wa angani.
Tunasubili 2015 ndio tutapata Rais wa nchi.
Pia kuna dogo mmoja anajiita Rais wa masharobaro, na mwingine Rais wa wasafi...Urais hauna hadhi tena Tanzania, anybody can be a President, hata Leodgar Tenga nae ni Rais, Madee yeye Rais ni wa Manzese na Mkwerre yeye ni Rais wa angani.
Tunasubili 2015 ndio tutapata Rais wa nchi.
Wewe ni kenge ambae unaishi ulimwengu wa zama za mawe, ni nani mwenye uwezo wa kuzuia internet? makenge kama nyinyi mlipaswa kupewa uti wa mgongo tu ungaliwatosha maana hakukuwa na sababu ya mungu kukupa ubongo maana hauna kazi nao. mtu asiekuwa na akili hakupaswa kupewa ubongo.Serikali itakuja na sheria ya Social network maana watu mnatumia uhuru wa kujieleza lakini mnatumia vibaya
tuache ushabiki wa kijinga bhana, unapojipendekeza unataka upate nini? yaani kuandika kwamba JK hana msimamo ndio tusi au ndio yale ya waswahili kuwa Ukweli Daima Unauma? ukisoma ile article anahoji iweje mtu ambaye ndie aliyepitisha bajeti ya serikali kama mwenyekiti kwenye baraza la mawaziri(serikali) leo hii akiwa kwenye chama (mwenyekiti CC) aseme tena kuwa mafuta ya taa yako juu na kwamba yanaumiza wananchi....na kwanini kauli hii ije saa hizi wakati hao masehemeji na wakwe huko bungeni wameshapitisha? ndio kilichoulizwa ha Mwaha halisi lakini pia ikihoji jinsi ajenda ya kujivua gamba ilivyoyeyuka huku akizuia mjadala kuhusu uvuaji gamba....that's all. Tusi liko wapi hapo???
Serikali itakuja na sheria ya Social network maana watu mnatumia uhuru wa kujieleza lakini mnatumia vibaya
Wewe ni kenge ambae unaishi ulimwengu wa zama za mawe, ni nani mwenye uwezo wa kuzuia internet? makenge kama nyinyi mlipaswa kupewa uti wa mgongo tu ungaliwatosha maana hakukuwa na sababu ya mungu kukupa ubongo maana hauna kazi nao. mtu asiekuwa na akili hakupaswa kupewa ubongo.
sheria inasemaje kuhus kumkejrli na kumtusi Rais??
wewe msubili tu utakapoona anapelekwa The Hugue baada ya kumaliza kipindi chake ndio utajuwa hii sio dunia ya majuha na misukule kama wewe. Refer kwa Hosni Mubarak, leo ana murder case za kujibu.siku zote ukweli unauma sasa naona muda umefika wa serikali kutunga Social Network Regulation Act 2011
Hii itasadia sana watu kama nyie
<br />sheria inasemaje kuhus kumkejrli na kumtusi Rais??