M4C ARUSHA
Member
- Apr 27, 2012
- 38
- 4
Hivi sasa tupo kwenye m4c tukiamini waandishi wa habari ndio nguzo pekee katika kulifanikisha hili lakini Kilimanjaro hali sio hivyo mmekuwa ni watu wa majungu,fitna,kazi kubwa ni kuaibishana kwenye mitandao hi indo kazi?wakati nikiwa moshi miaka hiyo nikiwa na watu kama kina chale ndagula,nirafiki yangu sana ecton chuwa na kazi zake ,bwana mdogo mjema dan,ndugu yangu mzee wa kiroro nech ndugu yangu temba senior dada yangu tuliyotokea sehemu moja salome mambo yalikuwa ni mzuri sana.
Lakini hebu fanyeni utafiti tena hili ni darasa la bure mchunguzeni mtu anayeitwa Charles ndagula ndio mtambo wa majungu na kamwe hamtafika mbali kuweni wamoja ili tuweze kuleta mabadiliko katika taifa hili
Msimwogope mpeni live bila chenga la sivyo mtaendelea kuwa na migogoro isiyo na tija na mwisho wa siku hamtaweza kuyaona mabadiliko
Tukiwa moshi ndagula alishawahi kusema kuwa hajawahi kufika ofisi ya Tanzania daiama kisa anataka usenior lakini hata nyumbani kwao ingawa ni mwaka wa 21 sasa tutampeleka ikibidi ili mambo yaweze kuwa mazuri zaidi akaombewe
Alishawahi kuchangisha fedha eti tena kwenye ajali yam v bukoba lakini fedha alienda kununulia koti la leather na kuishia same bila yakufika mwanza,kama haitoshi alishakusabnnya rambi rambi ya mareheme mbelege akanunulia dishi na tv na kulipia mahari ya mke
Wanahabari kilimajaro msaidieni huyu kijana ana laana na atataka kufa na nyie
Lakini hebu fanyeni utafiti tena hili ni darasa la bure mchunguzeni mtu anayeitwa Charles ndagula ndio mtambo wa majungu na kamwe hamtafika mbali kuweni wamoja ili tuweze kuleta mabadiliko katika taifa hili
Msimwogope mpeni live bila chenga la sivyo mtaendelea kuwa na migogoro isiyo na tija na mwisho wa siku hamtaweza kuyaona mabadiliko
Tukiwa moshi ndagula alishawahi kusema kuwa hajawahi kufika ofisi ya Tanzania daiama kisa anataka usenior lakini hata nyumbani kwao ingawa ni mwaka wa 21 sasa tutampeleka ikibidi ili mambo yaweze kuwa mazuri zaidi akaombewe
Alishawahi kuchangisha fedha eti tena kwenye ajali yam v bukoba lakini fedha alienda kununulia koti la leather na kuishia same bila yakufika mwanza,kama haitoshi alishakusabnnya rambi rambi ya mareheme mbelege akanunulia dishi na tv na kulipia mahari ya mke
Wanahabari kilimajaro msaidieni huyu kijana ana laana na atataka kufa na nyie