Mwanahabari huyu aombewe

M4C ARUSHA

Member
Apr 27, 2012
38
4
Hivi sasa tupo kwenye m4c tukiamini waandishi wa habari ndio nguzo pekee katika kulifanikisha hili lakini Kilimanjaro hali sio hivyo mmekuwa ni watu wa majungu,fitna,kazi kubwa ni kuaibishana kwenye mitandao hi indo kazi?wakati nikiwa moshi miaka hiyo nikiwa na watu kama kina chale ndagula,nirafiki yangu sana ecton chuwa na kazi zake ,bwana mdogo mjema dan,ndugu yangu mzee wa kiroro nech ndugu yangu temba senior dada yangu tuliyotokea sehemu moja salome mambo yalikuwa ni mzuri sana.


Lakini hebu fanyeni utafiti tena hili ni darasa la bure mchunguzeni mtu anayeitwa Charles ndagula ndio mtambo wa majungu na kamwe hamtafika mbali kuweni wamoja ili tuweze kuleta mabadiliko katika taifa hili
Msimwogope mpeni live bila chenga la sivyo mtaendelea kuwa na migogoro isiyo na tija na mwisho wa siku hamtaweza kuyaona mabadiliko


Tukiwa moshi ndagula alishawahi kusema kuwa hajawahi kufika ofisi ya Tanzania daiama kisa anataka usenior lakini hata nyumbani kwao ingawa ni mwaka wa 21 sasa tutampeleka ikibidi ili mambo yaweze kuwa mazuri zaidi akaombewe
Alishawahi kuchangisha fedha eti tena kwenye ajali yam v bukoba lakini fedha alienda kununulia koti la leather na kuishia same bila yakufika mwanza,kama haitoshi alishakusabnnya rambi rambi ya mareheme mbelege akanunulia dishi na tv na kulipia mahari ya mke


Wanahabari kilimajaro msaidieni huyu kijana ana laana na atataka kufa na nyie
 
huu ujumbe unaenda kwa waandishi wa habari au nani?na wewe ni mwandishi au?unalialia bila ushahidi wa kutosha,kwa ufupi hujaniconvince,jipange njoo tena...aaaarrrgggghhh
 
Hapa tunajadili hoja bwana M4C Arusha. Hatujadili watu. Inaonekana kabisa wewe ndio mwenye tatizo kwani kama unawajua hao watu, yanini kuyazungumzia hapa jamvini? Nenda kawaone na ukazungumze nao. Tutakuona shujaa wakweli.
 
Hivi sasa tupo kwenye m4c tukiamini waandishi wa habari ndio nguzo pekee katika kulifanikisha hili lakini Kilimanjaro hali sio hivyo mmekuwa ni watu wa majungu,fitna,kazi kubwa ni kuaibishana kwenye mitandao hi indo kazi?wakati nikiwa moshi miaka hiyo nikiwa na watu kama kina chale ndagula,nirafiki yangu sana ecton chuwa na kazi zake ,bwana mdogo mjema dan,ndugu yangu mzee wa kiroro nech ndugu yangu temba senior dada yangu tuliyotokea sehemu moja salome mambo yalikuwa ni mzuri sana.


Lakini hebu fanyeni utafiti tena hili ni darasa la bure mchunguzeni mtu anayeitwa Charles ndagula ndio mtambo wa majungu na kamwe hamtafika mbali kuweni wamoja ili tuweze kuleta mabadiliko katika taifa hili
Msimwogope mpeni live bila chenga la sivyo mtaendelea kuwa na migogoro isiyo na tija na mwisho wa siku hamtaweza kuyaona mabadiliko


Tukiwa moshi ndagula alishawahi kusema kuwa hajawahi kufika ofisi ya Tanzania daiama kisa anataka usenior lakini hata nyumbani kwao ingawa ni mwaka wa 21 sasa tutampeleka ikibidi ili mambo yaweze kuwa mazuri zaidi akaombewe
Alishawahi kuchangisha fedha eti tena kwenye ajali yam v bukoba lakini fedha alienda kununulia koti la leather na kuishia same bila yakufika mwanza,kama haitoshi alishakusabnnya rambi rambi ya mareheme mbelege akanunulia dishi na tv na kulipia mahari ya mke


Wanahabari kilimajaro msaidieni huyu kijana ana laana na atataka kufa n
a nyie
bahati mbaya unafanya the same thing!hapa sijaona tofauti yako na huyo charles .
 
Hili bandiko lako nalo ni majungu......sasa mwenye majungu ni huyo charles au ni wewe M4C?
Hivi sasa tupo kwenye m4c tukiamini waandishi wa habari ndio nguzo pekee katika kulifanikisha hili lakini Kilimanjaro hali sio hivyo mmekuwa ni watu wa majungu,fitna,kazi kubwa ni kuaibishana kwenye mitandao hi indo kazi?wakati nikiwa moshi miaka hiyo nikiwa na watu kama kina chale ndagula,nirafiki yangu sana ecton chuwa na kazi zake ,bwana mdogo mjema dan,ndugu yangu mzee wa kiroro nech ndugu yangu temba senior dada yangu tuliyotokea sehemu moja salome mambo yalikuwa ni mzuri sana.


Lakini hebu fanyeni utafiti tena hili ni darasa la bure mchunguzeni mtu anayeitwa Charles ndagula ndio mtambo wa majungu na kamwe hamtafika mbali kuweni wamoja ili tuweze kuleta mabadiliko katika taifa hili
Msimwogope mpeni live bila chenga la sivyo mtaendelea kuwa na migogoro isiyo na tija na mwisho wa siku hamtaweza kuyaona mabadiliko


Tukiwa moshi ndagula alishawahi kusema kuwa hajawahi kufika ofisi ya Tanzania daiama kisa anataka usenior lakini hata nyumbani kwao ingawa ni mwaka wa 21 sasa tutampeleka ikibidi ili mambo yaweze kuwa mazuri zaidi akaombewe
Alishawahi kuchangisha fedha eti tena kwenye ajali yam v bukoba lakini fedha alienda kununulia koti la leather na kuishia same bila yakufika mwanza,kama haitoshi alishakusabnnya rambi rambi ya mareheme mbelege akanunulia dishi na tv na kulipia mahari ya mke


Wanahabari kilimajaro msaidieni huyu kijana ana laana na atataka kufa na nyie
 
Back
Top Bottom