OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakubwa ! Mwanafunzi wa chuo kikuu cha SAUT-Mwanza amekutwa amefariki maeneo ya gamba beach asubuhi hii. Baada ya kuangalia vitambulisho vyake imebainika ni mwanafunzi mwaka wa kwanza Faculty of Education.