Chuo cha SAUT kinara ufaulu Shule ya Sheria

Dalton elijah

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
207
453
Chuo cha Mtakatifu Augustino cha Mwanza Campus Ya Malimbe Imeendelea Kushika Kasi katika Nafasi za Ufaulu Shule ya Sheria Kwa wahitimu Wanamaliza

Hayo Yanajiri Baada Ya idadi Kubwa Ya Wanafunzi Wanao fanya Vizuri Kutokea Chuo Cha SAUT

Mwaka jana wanafunzi 633 walifanya mtihani wa kuhitimu stashahada ya juu ya sheria kwa vitendo (PGD in Legal Practice). Kati yao ni wanafunzi 26 tu waliofaulu kwenye mkao wa kwanza (first sitting). Kati ya hao 26 wanafunzi 11 (sawa na 42%) ni wahitimu wa chuo kikuu cha St.Augustine, Mwanza (SAUT). 15 waliosalia walitoka vyuo vingine.

Mwaka huu (waliohitimu mwezi January) ni wanafunzi 821. Waliofaulu (first sitting) ni 23 tu. Kati ya hao 23, wanafunzi 10 sawa na 46% wametoka SAUT. 14 waliosalia wametoka vyuo vingine kama UDSM, Mzumbe, Tumaini, Open University, Makumira, SMMCO, St.John, MOCU etc.

Kwa miaka miwili mfululizo karibu nusu ya wanafunzi wanaofaulu Law School ni wahitimu wa SAUT.

SOURCES Via Malisa Gj

1683125499771.jpg
 
Law School ni chuo uchwara.
Hamna namna unaweza kulinganisha SAUT na UDSM kwenye kada ya sheria mkuu. Nimewahi kutana na wanafunzi wengi wa SAUT mwaka wa 4 hata plaint hajui kuandika, Ukimpa ajibu WSD ndo utacheka, ukitaka vituko mpe kazi aandae Charge, hata ku identify offence hajui.

Sijawahi kukutana na Hali kama hiyo Kwa wanafunzi wa UDSM na Mzumbe.

Hizo story za chuo flani kutoa watu wengi Huwa ni stori za vijiweni na wakufunzi Km mtaalamu Shonga au Don chuwa wakiziskia Huwa wanacheka sana Kwa dharau maana uhalisia ni tofauti.

Sijasoma UDSM lakini Kwa sheria UDSM na MZUMBE bado ni best Kwa nchi yetu Angalia hata wanafunzi wanaochukua, ni wachache na wanaufaulu mzuri hivyo rahisi kufundishika tofauti na SAUT ambao ni zoa zoa mpaka D 2 anaenda kusoma Ll.b

Ll.b3 wa mwaka huu SAUT wapo Karib 1000plus unadhani mazingira ya kujifunza yatakuwa rahisi kulinganisha na chuo kama UDSM wanachukua watu 100 ni wote ni Division one?
 
Chuo cha Mtakatifu Augustino cha Mwanza Campus Ya Malimbe Imeendelea Kushika Kasi katika Nafasi za Ufaulu Shule ya Sheria Kwa wahitimu Wanamaliza

Hayo Yanajiri Baada Ya idadi Kubwa Ya Wanafunzi Wanao fanya Vizuri Kutokea Chuo Cha SAUT

Mwaka jana wanafunzi 633 walifanya mtihani wa kuhitimu stashahada ya juu ya sheria kwa vitendo (PGD in Legal Practice). Kati yao ni wanafunzi 26 tu waliofaulu kwenye mkao wa kwanza (first sitting). Kati ya hao 26 wanafunzi 11 (sawa na 42%) ni wahitimu wa chuo kikuu cha St.Augustine, Mwanza (SAUT). 15 waliosalia walitoka vyuo vingine.

Mwaka huu (waliohitimu mwezi January) ni wanafunzi 821. Waliofaulu (first sitting) ni 23 tu. Kati ya hao 23, wanafunzi 10 sawa na 46% wametoka SAUT. 14 waliosalia wametoka vyuo vingine kama UDSM, Mzumbe, Tumaini, Open University, Makumira, SMMCO, St.John, MOCU etc.

Kwa miaka miwili mfululizo karibu nusu ya wanafunzi wanaofaulu Law School ni wahitimu wa SAUT.


SOURCES Via Malisa Gj
Nimekuwa nikitafuta at least sample ya maswali ya LS nione yanakuwaje. Kama una mawili matatu nitupie hapa
 
Hamna namna unaweza kulinganisha SAUT na UDSM kwenye kada ya sheria mkuu. Nimewahi kutana na wanafunzi wengi wa SAUT mwaka wa 4 hata plaint hajui kuandika, Ukimpa ajibu WSD ndo utacheka, ukitaka vituko mpe kazi aandae Charge, hata ku identify offence hajui.

Sijawahi kukutana na Hali kama hiyo Kwa wanafunzi wa UDSM na Mzumbe.

Hizo story za chuo flani kutoa watu wengi Huwa ni stori za vijiweni na wakufunzi Km mtaalamu Shonga au Don chuwa wakiziskia Huwa wanacheka sana Kwa dharau maana uhalisia ni tofauti.

Sijasoma UDSM lakini Kwa sheria UDSM na MZUMBE bado ni best Kwa nchi yetu Angalia hata wanafunzi wanaochukua, ni wachache na wanaufaulu mzuri hivyo rahisi kufundishika tofauti na SAUT ambao ni zoa zoa mpaka D 2 anaenda kusoma Ll.b

Ll.b3 wa mwaka huu SAUT wapo Karib 1000plus unadhani mazingira ya kujifunza yatakuwa rahisi kulinganisha na chuo kama UDSM wanachukua watu 100 ni wote ni Division one?
Kuna jambo hujaelewa nadhani. Mtoa post hajasema SAUT ni bora kuliko UDSM na MZUMBE, la hasha.
Amesema kwa matokeo ya Law School kwa miaka hii miwili mfululizo, SAUT wamefaulisha zaid ya vyuo vingine.

Unajua kuna tofauti kati ya kufaulisha zaid na kuwa bora

Chukulia mfano, kati ya hao 23 waliofaulu, tuseme 5 wametoka UDSM, 5 MZUMBE, 10 SAUT, na hao 3 vyuo vingine

Alafu hao 5 wa UDSM, wakawa na GPA 4-45
Hao 5 wa MZUMBE wakawa na PGA 4-43
Hao 10 wa SAUT wakawa na 3.8-4

Sasa hapo unafikiri chuo gani kitahesabiwa kuwa bora???

NB: Nimetumia GPA japo sijui km mfumo wa kipimo chao ni GPA au la
 
Kuna jambo hujaelewa nadhani. Mtoa post hajasema SAUT ni bora kuliko UDSM na MZUMBE, la hasha.
Amesema kwa matokeo ya Law School kwa miaka hii miwili mfululizo, SAUT wamefaulisha zaid ya vyuo vingine.

Unajua kuna tofauti kati ya kufaulisha zaid na kuwa bora

Chukulia mfano, kati ya hao 23 waliofaulu, tuseme 5 wametoka UDSM, 5 MZUMBE, 10 SAUT, na hao 3 vyuo vingine

Alafu hao 5 wa UDSM, wakawa na GPA 4-45
Hao 5 wa MZUMBE wakawa na PGA 4-43
Hao 10 wa SAUT wakawa na 3.8-4

Sasa hapo unafikiri chuo gani kitahesabiwa kuwa bora???

NB: Nimetumia GPA japo sijui km mfumo wa kipimo chao ni GPA au la
Mkuu bado nasema hizo data za mtoa mada sio sahihi, ni story za vijiweni, japo sikatai kuwa Kuna watu pia kutoka SAUT Huwa wanatoka first sitting pia, mfano Kwa cohort ya 34.

Kuna mtu namjua katoka first Sitting ni mhitimu wa SAUT. Pia najua wengine wanne waliotoka Mzumbe na UDOM.

Hizo story Huwa zipo miaka yote, mwanzo waliokuwaga na tabia ya kueneza huo uongo Ili waonekane wa maana walikuwa UDOM maana college ilikuwa mpya ko walikuwa hawataki waonekane wapo nyuma, lakini Kwa Sasa wamestaarabika.
 
Chuo cha Mtakatifu Augustino cha Mwanza Campus Ya Malimbe Imeendelea Kushika Kasi katika Nafasi za Ufaulu Shule ya Sheria Kwa wahitimu Wanamaliza

Hayo Yanajiri Baada Ya idadi Kubwa Ya Wanafunzi Wanao fanya Vizuri Kutokea Chuo Cha SAUT

Mwaka jana wanafunzi 633 walifanya mtihani wa kuhitimu stashahada ya juu ya sheria kwa vitendo (PGD in Legal Practice). Kati yao ni wanafunzi 26 tu waliofaulu kwenye mkao wa kwanza (first sitting). Kati ya hao 26 wanafunzi 11 (sawa na 42%) ni wahitimu wa chuo kikuu cha St.Augustine, Mwanza (SAUT). 15 waliosalia walitoka vyuo vingine.

Mwaka huu (waliohitimu mwezi January) ni wanafunzi 821. Waliofaulu (first sitting) ni 23 tu. Kati ya hao 23, wanafunzi 10 sawa na 46% wametoka SAUT. 14 waliosalia wametoka vyuo vingine kama UDSM, Mzumbe, Tumaini, Open University, Makumira, SMMCO, St.John, MOCU etc.

Kwa miaka miwili mfululizo karibu nusu ya wanafunzi wanaofaulu Law School ni wahitimu wa SAUT.


SOURCES Via Malisa Gj
Mleta mada (mwandishi) hayuko makini katika uchambuzi wake.
Alipaswa kutuambia hiyo idadi ya wahitimu waliofaulu Law school kutoja SAUT ni kati ya wahitimu wangapi kutoka SAUT ambao walijiunga Law school.
(Note: SAUT ndio chuo kinachodahili wanafunzi wengi zaidi wa shahada ya sheria, na ndio kinachotoa wahitimu wengi zaidi wa sheria, ndio kinachoongoza kuandikisha wanafunzi wengi zaidi kuanza mafunzo pale Law school, itakuwa maajabu kama wengi watakaofaulu Law school hawatatokea SAUT)

Kwa mfano, embu tuwaze tu, labda
Wahitimu wa SAUT waliojiunga Law school walikuwa 500, kati yao waliofaulu ni 10 (hiyo ni sawa na 2%)

Wahitimu wa vyuo vingine (UDSM, Mzumbe, Tumaini nk) waliojiunga Law school walikuwa 321, kati yao waliofaulu ni 14 (sawa na 4.4%).

Ni vipi utaiona SAUT ni bora zaidi ya wengine?
 
Mleta mada (mwandishi) hayuko makini katika uchambuzi wake.
Alipaswa kutuambia hiyo idadi ya wahitimu waliofaulu Law school kutoja SAUT ni kati ya wahitimu wangapi kutoka SAUT ambao walijiunga Law school.
(Note: SAUT ndio chuo kinachodahili wanafunzi wengi zaidi wa shahada ya sheria, na ndio kinachotoa wahitimu wengi zaidi wa sheria, ndio kinachoongoza kuandikisha wanafunzi wengi zaidi kuanza mafunzo pale Law school, itakuwa maajabu kama wengi watakaofaulu Law school hawatatokea SAUT)

Kwa mfano, embu tuwaze tu, labda
Wahitimu wa SAUT waliojiunga Law school walikuwa 500, kati yao waliofaulu ni 10 (hiyo ni sawa na 2%)

Wahitimu wa vyuo vingine (UDSM, Mzumbe, Tumaini nk) waliojiunga Law school walikuwa 321, kati yao waliofaulu ni 14 (sawa na 4.4%).

Ni vipi utaiona SAUT ni bora zaidi ya wengine?
Takwimu zinaongea. Private ni better than Government colleges
 
Chuo cha Mtakatifu Augustino cha Mwanza Campus Ya Malimbe Imeendelea Kushika Kasi katika Nafasi za Ufaulu Shule ya Sheria Kwa wahitimu Wanamaliza

Hayo Yanajiri Baada Ya idadi Kubwa Ya Wanafunzi Wanao fanya Vizuri Kutokea Chuo Cha SAUT

Mwaka jana wanafunzi 633 walifanya mtihani wa kuhitimu stashahada ya juu ya sheria kwa vitendo (PGD in Legal Practice). Kati yao ni wanafunzi 26 tu waliofaulu kwenye mkao wa kwanza (first sitting). Kati ya hao 26 wanafunzi 11 (sawa na 42%) ni wahitimu wa chuo kikuu cha St.Augustine, Mwanza (SAUT). 15 waliosalia walitoka vyuo vingine.

Mwaka huu (waliohitimu mwezi January) ni wanafunzi 821. Waliofaulu (first sitting) ni 23 tu. Kati ya hao 23, wanafunzi 10 sawa na 46% wametoka SAUT. 14 waliosalia wametoka vyuo vingine kama UDSM, Mzumbe, Tumaini, Open University, Makumira, SMMCO, St.John, MOCU etc.

Kwa miaka miwili mfululizo karibu nusu ya wanafunzi wanaofaulu Law School ni wahitimu wa SAUT.


SOURCES Via Malisa Gj
Wanasoma miaka 4,
Nina ndugu manguli wa Sheria Tz wamepita pale.....

Cc. Father Kitima
 
Hamna namna unaweza kulinganisha SAUT na UDSM kwenye kada ya sheria mkuu. Nimewahi kutana na wanafunzi wengi wa SAUT mwaka wa 4 hata plaint hajui kuandika, Ukimpa ajibu WSD ndo utacheka, ukitaka vituko mpe kazi aandae Charge, hata ku identify offence hajui.

Sijawahi kukutana na Hali kama hiyo Kwa wanafunzi wa UDSM na Mzumbe.

Hizo story za chuo flani kutoa watu wengi Huwa ni stori za vijiweni na wakufunzi Km mtaalamu Shonga au Don chuwa wakiziskia Huwa wanacheka sana Kwa dharau maana uhalisia ni tofauti.

Sijasoma UDSM lakini Kwa sheria UDSM na MZUMBE bado ni best Kwa nchi yetu Angalia hata wanafunzi wanaochukua, ni wachache na wanaufaulu mzuri hivyo rahisi kufundishika tofauti na SAUT ambao ni zoa zoa mpaka D 2 anaenda kusoma Ll.b

Ll.b3 wa mwaka huu SAUT wapo Karib 1000plus unadhani mazingira ya kujifunza yatakuwa rahisi kulinganisha na chuo kama UDSM wanachukua watu 100 ni wote ni Division one?
Sijui watu wameona hii.
 
Back
Top Bottom