Mwanafunzi na insha

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Mwalimu aliwataka wanafunzi waandike insha juu ya mechi ya mpira wa miguu ikiwa imefanyika mjini wakati wa usiku.
Karibu wote waliandika kwa hamasa na kujaza kurasa, isipokuwa dogo mmoja aliandika maneno matano tu na kusbiri wengine wamalize apeleke insha yake. Katika kupitapita, mwalimu akaona alivyandika dogo: TANESCO walizima umeme, mechi imeahirishwa.
 
Back
Top Bottom