Poleni wafiwa.........
Kwa wale wanaoifahamu familia ya Iddi Simba, marehemu ni mtoto wa dada mdogo wa Mama Iddi Simba.
Tupo pamoja.
Mimi nasubiri kuona jinsi Ubalozi wetu India pamoja na Foreign office jinsi watakavyo re-handle hili saga. Haiwezekani kila uchwao watanzania wauawe kikatili kwenye nchi ambazo siku zote raia wao wanapewa protection wanapokuwa Tanzania.
Forget about Ubalozi, siyo mara kwanza jambo la namna hiyo kutokea. In fact nikiwa kule masomoni tulipatwa na misiba miwili (mji niliyokuwa) niliyohusika hatua zote. Msiba mmoja tulisafirisha na mmoja tulizika kulekule. Msiba wa kwanza ulisababishwa na ajari, jamaa wa Ubalozi alikuja na alishia kuchukua PDM zake. Na msiba wa pili hatukuweza kujua chanzo cha kifo, maana jamaa report iliyotolewa ni natural death.
Ninachotaka kusema, msitarajie lolote kwa hao jamaa.
Anaitwa IMRAN MTUI nirafiki yangu wa karibu... it is soo sad indeed.. amakutwa amekatwa mikono na miguu inasemekana baada ya kuuawa alitupwa relini na train ikampitia so kichwa kimesagika...
inaonekana wahindi wameanza vita rasmi ya kuwauwa watanzania kama (sio waafrica wasomao huko) kwa tz huyu ni mwanafunzi wa tatu kwa muda mfupi sana
Jioni ya kifo chake alimuaga rafikie wanae isha nae wote pale Saski Manshion, Gopal Reddy Layout, 1st Main (kwa wale waishio india msiba uko hapo) kuwa natoka akarudi badae ingawa hakuingia ndani akaacha pikipiki yake na mlinzi anasema alikuwa ameongozana na muhindi mmoja..so kesho yake asbuhi rafikie akapata taarifa ya kifo chake
RIP IMRAN you will be missed
- Wakuu habari zinasikitisha sana, lakini pia bado tunahitaji all the facts I mean sioni sababu ya kutukanwa kwa ubalozi wetu huko so far wakati sioni all the facts, ingawa sio siri habari inasikitisha sana na pole wafiwa wote!
- Lakini binafsi, nitasubiri all the facts kwanza kabla ya kuhukumu Wahindi wote Duniani au Balozi zetu zote Duniani kwa kifo ambacho sina all the facts kimetokeaje na sababu zake!
Respect.
FMEs!
Maskini jamani handsome and looks soo innocent. RIP Imran
Wasichana wa JF bwana!! Ina maana asingekuwa hansome msingehuzunika? Better to be silent !!he was such young and handsome! RIP
poleni wafiwa...Heshima nyingi mzee
Imran amekutwa hana kichwa (data nilizozipata jana msibani), kakatwa mikoni na miguu.. police india wamesema ni suicide...how!!!! mtu anaejiua anajikata kichwa na miguu na mikono????????? tufikirie tena upya.
jana hiyo hiyo muivory cost kauawa hapo hapo bangalore..waziri wao wa mambo ya nje kaenda.. sisi katumwa police wetu wa kibongo...soo sad
RIP IMRAN