Poleni wafiwa.
Kifo hakizoeleki. Tusubiri postmortem ili kujua yanayowezekana kuwa yalijili. Yaweza kuwa ajali au kuawa. Hili la ubaguzi wa rangi si hoja kubwa kwani wao kwa wao wanabaguana sana, ni sehemu ya utamaduni wao kutomjali mtu asiye wa 'caste' yako. Tuliokaa India tunajua hayo. Dawa na kuheshimu hiyo mipaka na kustick together hasa ukiwa na rafiki mwenye dada utachungwa kishenzi. Inaweza kuwa boring lakini ni kwa muda mfupi tu.
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI
Kifo hakizoeleki. Tusubiri postmortem ili kujua yanayowezekana kuwa yalijili. Yaweza kuwa ajali au kuawa. Hili la ubaguzi wa rangi si hoja kubwa kwani wao kwa wao wanabaguana sana, ni sehemu ya utamaduni wao kutomjali mtu asiye wa 'caste' yako. Tuliokaa India tunajua hayo. Dawa na kuheshimu hiyo mipaka na kustick together hasa ukiwa na rafiki mwenye dada utachungwa kishenzi. Inaweza kuwa boring lakini ni kwa muda mfupi tu.
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI