Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Anaitwa IMRAN MTUI nirafiki yangu wa karibu... it is soo sad indeed.. amakutwa amekatwa mikono na miguu inasemekana baada ya kuuawa alitupwa relini na train ikampitia so kichwa kimesagika...
inaonekana wahindi wameanza vita rasmi ya kuwauwa watanzania kama (sio waafrica wasomao huko) kwa tz huyu ni mwanafunzi wa tatu kwa muda mfupi sana
Jioni ya kifo chake alimuaga rafikie wanae isha nae wote pale Saski Manshion, Gopal Reddy Layout, 1st Main (kwa wale waishio india msiba uko hapo) kuwa natoka akarudi badae ingawa hakuingia ndani akaacha pikipiki yake na mlinzi anasema alikuwa ameongozana na muhindi mmoja..so kesho yake asbuhi rafikie akapata taarifa ya kifo chake
RIP IMRAN you will be missed
inaonekana wahindi wameanza vita rasmi ya kuwauwa watanzania kama (sio waafrica wasomao huko) kwa tz huyu ni mwanafunzi wa tatu kwa muda mfupi sana
Jioni ya kifo chake alimuaga rafikie wanae isha nae wote pale Saski Manshion, Gopal Reddy Layout, 1st Main (kwa wale waishio india msiba uko hapo) kuwa natoka akarudi badae ingawa hakuingia ndani akaacha pikipiki yake na mlinzi anasema alikuwa ameongozana na muhindi mmoja..so kesho yake asbuhi rafikie akapata taarifa ya kifo chake
RIP IMRAN you will be missed