TUEPUKE HOFU!!!.Ni hatari kuliko corona yenyewe kikubwa tahadhari ichukuliwe ,naiyamini serikali kwa ujumla binafsi nimemelewa Sana raisi Magufuli
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
mjumbe bond! Apumzike mahali pema mjumbePumzika kwa Amani mjumbe.
Japo inaonyesha na wasomi nasi tunazidi kuingia kwenye siasa na kuuacha ukweli, Kwa hapo kweli MTC a.k.a MIST a.k.a MUST mmetufelisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi tunayo yote mawili: corona + kushindwa kupumua, maana tanzia zimekuwa nyingi kweli.Hili tatizo la Kushindwa Kupumua ndio substitute ya Corona au?
Taarifa za sababu ya kifo hutolewa na hospitali alikofia marehemu. Chuo ni kutoa tu taarifa kwa wanajumuiya wake na kuambatanisha sababu kama itakavyokuwa kwenye hati ya kifoPumzika kwa Amani mjumbe.
Japo inaonyesha na wasomi nasi tunazidi kuingia kwenye siasa na kuuacha ukweli, Kwa hapo kweli MTC a.k.a MIST a.k.a MUST mmetufelisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Vyama weka kando, Tanzania kwanza!".TUEPUKE HOFU!!!.Ni hatari kuliko corona yenyewe kikubwa tahadhari ichukuliwe ,naiyamini serikali kwa ujumla binafsi nimemelewa Sana raisi Magufuli
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Usinipangie
Kanu iko museumUsinipangie
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Hebu tueleze unataka serikali ifanyeje. Mlazimishwe kunawa mikono ama kufanya distancing?RiP Antony E. Bujigwa
Hatari sana, gonjwa hili halibagui maana ukiwa na kamwili kenye mafuta hata uwe kijana na sisi, hii corona ni balaa.
Serikali iache kukataa ukweli hali ni mbaya sana.