Mwanafunzi Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya afariki dunia kutokana na tatizo la kushindwa kupumua

TUEPUKE HOFU!!!.Ni hatari kuliko corona yenyewe kikubwa tahadhari ichukuliwe ,naiyamini serikali kwa ujumla binafsi nimemelewa Sana raisi Magufuli

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Wako sahihi maana marehemu anaweza kuwa kaded bila kupimwa kama ana kirusi. sasa watasemaje corona bila kupima. taarifa inaweza kubadilika baada ya postmotam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…