Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa 2015

Mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa 2015

Nashauri huyu samwel aondolewe kabisa. Huu ni ukatili anastahili kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
 
eti kawapita wanaume kibao, wanawake buana!
 
Nimetafuta njia.ya kumsaidia moderator angalau kuwa report abusers nimekosa. Moderators do your work.
 
Wasichana wenye sura za kuvutia akili zao ndogo sana...bora huyu yeye anajua masomo yatamtoa sio wengine kuinamishwa kila mara
 
Wasukuma Ni nouuuuuuma, Nyerere aliwachelewesha saaaaaaana aise kipindi mile anawaita " The sleeping giant".Poleni saaana japo bado MNA chance ya kufanya wonders. Its yo time WANGOSHA.
 
mmhh sasa huu si ukabila huu !!
sasa hapo kuna uhusiano gani kati ya kufaulu kwake na usukuma?
Mtoa Mada
 
wavulana siku hizi sijui akili wamepeleka wapi loh! siyokama wale wakipindi kile enzi za tabora boys !!loh
 
Back
Top Bottom