Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,982
Hongera sana binti, Mungu akusaidie usonge mbele zaidi.
Black is beautiful huyu binti ni mzuri sana namfahamu amesomea CANNOSA kwa masister. Nyie ndo mnatufanya tujichubue.Wasichana wenye sura za kuvutia akili zao ndogo sana...bora huyu yeye anajua masomo yatamtoa sio wengine kuinamishwa kila mara
Ulimhphola!!!!!View attachment 324171
Huyu ndiye mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha Nne 2015, Butogwa Charles Shija. Binti huyu amefanikiwa kuwagaragaza watoto wa kiume kibao hapa nchini.
wasukuma katika ubora wetu, ni zamu yetu.
Tupia neno moja tu la pongezi kwake.
Hataaa ni akili yako tuBlack is beautiful huyu binti ni mzuri sana namfahamu amesomea CANNOSA kwa masister. Nyie ndo mnatufanya tujichubue.
Inedeed. Na nilisoma maelezo yake kwenye gazeti pamoja labda na akili za kuzaliwa , mwalimu wake amesema alikuwa na nidhamu, kusoma na kusali! Hongerah Butogwa C. Shija!Huyu atapata mpaka PHD maana wavulana hawatamsumbua sana
Ila mbayaaaHONGERA BINTI NA MUNGU AKUTANGULIE
Mzuri ajajiremba tuIla mbayaaa
wachina wanatisha wameingia mpaka nectaAnhaaa....[emoji2]
Kumbe umesikia..!!
Hapa tutegemee NECTA fake ya kichina, sindio..[emoji15]wachina wanatisha wameingia mpaka necta
Wew mwanga tuKarembo sana,hakafiki mbali