Haya masihara ya kujiweka kamba shingoni hayafahi kabisaaa, kama mtu ana tatizo ni bora kuongea kwa mtu anayemuamini endapo kifua chake hakina uwezo wa kubeba mambo mazito.
Rest in peace dear.
kufeli masters itakuwa sababu ya nyongeza tu anajambo jingine huyo lililomfanya ajinyonge, wangapi kwenye halmashauri zetu wanaendelea kutufisadi wakiwa na elimu duni? Degree yake ilimtosha kuishi impendezavyo mungu