Maskini, atakuwa alikuwa anajisikia aibu vip akirudi ofisini, unajua mtu umeaga na watu wote ofisin wanajua bosi kaenda kuongeza elimu sasa, na inawezekana aliondoka kwa majivuno kibao, sasa amedisco anaona kwa ofisi kuna aibu kubwa kuwa jamaa ni kilaza. R.I.P