Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Miaka 34 unalelewa what a shame!
Kuna huyu mama wa makamo ana 51 kwa sasa,Mimi Nina 34,
hivi mkuu utakuheshimu vipi wakati unatembea na mtu
ambaye yey anamlinganisha na rika la bibi (kumbuka mtoto wake
mwingine kaolewa).
Pia hesabu za chekechea , fanya hivi.
Kikongwe 51-34 = 17 (variance na kikongwe)
34-21 =13 (variance na kijana).
34-19 =15 (viarance na binti).
je, unadhani hapo utaheshimika vipi hapo...?
Ha ha ha khaaaa yani nimewaza na utu uzima huu eti limwanaume linahamia nyumbani lije kuwa libaba shwain kabisa
Afu anataka kujifanya kidume wa mji, eti hasalimiwi duuh
Ningekua mie ndo huyo yanki,ningekutafutia wahuni wakufi.re tu..maana hakuna namna tena.
Huyo mama naye ni binadamu. Ana mahitaji yake ya kimwili.
Tena atamiguu anastahili kuvunjwa..kijana mzima anafurahi kulelewa anasema wazi kabisa huwa anaendesha gari lisilo lake... duu Jf noma sanaUmepata watoto wa kambo wastaarabu hongera, ningekua kati yao ningeshakutoa ngeu
watu wengi hawajui kuhusu uhuru wa nafsi huru,,kila mtu ana choices zake hapa duniani,,no hard feelingz
Tena atamiguu anastahili kuvunjwa..kijana mzima anafurahi kulelewa anasema wazi kabisa huwa anaendesha gari lisilo lake... duu Jf noma sana