Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,498
Miraji achana naye kabisa. Nilikuwa nikikutana naye natetemeka. Saivi makongo haina mvuto tena.Ahahhaha ubishoo NA usister duu ulikuwa unauacha getin ukishaingia ndan unakuwa kama askar....Babu NA Miraji waliweza kuichangamsha shule kwa kwel