Mwana mpotevu mpokeeni jamani

Mwana mpotevu mpokeeni jamani

Mallaba

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
2,554
Reaction score
49
salaam wana JF,
Imekuwa ni mda mrefu sana tangu nilipotoka sasa zidi ya miezi 6 vile, nilikuwa nimetoka kwenda nchi za mbali kwa masuala ya hapa na pale.
Sio siri nimekuwa nikiwakumbuka sana, ila kwa sababu ya kukosa mda na majukumu mengi ya huko nilikokuwa sikuweza kuonekana.
Natumaini mtanipokea.
Natanguliza shukrani!
 
karibu sana! Kwan huko hakukuwa na internet networks? Pozi hizo!
 
Mkuu,
Karibu tena tuendeleze jamvi letu,
 
Karibu, naona umekuja kudai urithi wako.
Hivi ulijuaje? Nilifikiria sana na kona kuwa nisiporudi basi kila kitu nitapoteza,,lol Huyo qeen mzima lakini naona unamwanggalia kwa hamasa sana
 
karibu sana! Kwan huko hakukuwa na internet networks? Pozi hizo!
Tatizo sio internet bali ni mda wenyewe, nilikuwa na majukumu ambayo yalikuwa yanazidi uwezo. Nadhani umenipata mkuu.
 
Back
Top Bottom