Hilo kaka ndo maana huwa nasoma vitabu vyenye kunifnya niwe selfish kidogo na rude,nakumbuka nilikaaga na jamaa ghetto tulijuana juu juu tu,kaenda sehem hatacjui,kaleta TV ikakaa hapo ghetto,hata ilikuwa haifanyi kazi,umepita mwaka na jamaa alisha sepa,nashangaa cku hyo polisi wanakuja na mdada ana claim kua mm ndo nilikuwa nampa hifadh huyo jamaa,so niko responsible,tulibishana ila badae nikaona usumbufu maana hata masomo na kazi vikawa vinashindwa kwenda poa,nikalipa laki saba,ila nashukuru wife wangu kauzu balaa,hatakag hizo habari