mwana-FA yuko China

mwana-FA yuko China

haaahaa mzaramo kwani kila aendaye china anapeleka dona!! Ni mpuu.zi tu anayeweza peleka unga kwa jih phing

Akikamatwa ndo utaelewa km ni mpuuzi au la, naona unamtetea kama vile unaishi sayari nyingine na hujui kinachoendelea kuhusu 'sembe'. Inakuwaje unausemea moyo wa mtu!? Unless ni we mwenyewe unayeandika.
 
Mimi naisi kapeleka mchele huyu na sio sembe mpaka kapita airport.
 
povu linakutoka kweli kumtetea,mumeo nini?unamtetea mzee.
so umeanza mwaka kwa kunitukana? If ur neutral in situation of injustice,u are on side of oppresor. Kwanini umsingizie kila anayeenda china anapeleka sembe?
 
akikamatwa ndo utaelewa km ni mpuuzi. Naona unamtetea kama vile unaishi sayari nyingine na hujui kinachoendelea kuhusu 'sembe.inakuwaje unausemea moyo wa mtu!? .
si hadi akamatwe au? Unafanya fallacy of generalisation.
 
safi brother,heri nawe pia. Busara na juhudi zituwezeshe kushinda changamoto za ulimwengu. Tumalize mwaka huu tukiwa juu ya kilele cha mafanikio!!

Pamoja kaka,dua yako ikubaliwe na muumba!!!!!!

Salaam kwa "wanafamilia" wote!!!!
 
Cheza cheza bila kunkunja goti!! Wachina leo wanacheza hivyo.
 
bado punda diamond watu wanamvutia kasi tu. watu hawana huruma haki ya mama.
 
Show za siting room,wakirudi wanasema walifunika!!!!
 
Back
Top Bottom