na aende...
acha kukatisha watu tamaa. Mtu asiende china kufanya show mnasema anapeleka ngada.wasanii wa bongo fleva acheni upunda ridhikeni na mnachokipat! Big up mwana fa kwa kuvusha ngada hadi china bila kustukiwa safi.
Officially yuko china kuwaburudisha watanzania na waafrika wengine walioko china.
Ni show tu!nothing less nothing more!
Officially yuko china kuwaburudisha watanzania na waafrika wengine walioko china.
Ni show tu!nothing less nothing more!
mwana-fa ndo nani?
alisha enda mkuu...Na aende...
kocha msaidizi wa yanga ambaye amewahi kuchezea chelsea ya ujerumani.
mwana fa ni bondia wa ngumi za kulipwa mwenye historia pekee ya kumpiga francis cheka
Officially yuko china kuwaburudisha watanzania na waafrika wengine walioko china.
Ni show tu!nothing less nothing more!
aisee unakumbuka lile pambano alivyomdunda cheka? Sema fa aliharibu alipopigwa na bondia gaudence mwaikimba na kunyang'nywa taji
and unofficially kaenda kufanya nini?
punda huyo.hakuna shoo yoyote nje inayolipa vizuri
kocha msaidizi wa yanga ambaye amewahi kuchezea chelsea ya ujerumani.
baadae nae mwaikimba alipigwa na mr.blue