Mwana DIASPORA Juma Pinto aula bodi ya Utaliii

JOFFREY BARATHEON

Senior Member
Jun 26, 2014
107
195
According to Mwana JF aka GREAT THINKER aka INDEPENDENT THINKER mwenzetu bwana KIBANGA AMPINGA MKOLONI, Mwana DIASPORA kwa jina la Juma Pinto ambaye ni mfano bora na wa kuigwa na wanadiaspora wengine ameteuliwa kuingia kwenye bodi ya Ngorongoro (ndio hiyo hiyo ya Utaliii zote humo humo). Uteuzi wa Pinto ni ushahidi tosha kuwa anafaa kutokana na michango yake tya Kuitangaza Tanzania alipokuwa ughaibuni na vile vile kitendo chake cha kiungwana na kuja kuendeleza Taifa kwa Ujumla.

Pinto ambaye pia ni mmiliki wa gazeti la JAMBO LEO na JAMBO MEDIA , CITY BAR na shughuli zinginezo amekuwa mtu mwenye kuhangaika na kutumia nafasi ambazo wana diaspora wengine wamekuwa wakisema hazipo au wanazibiwa na wengine wanakuja humu kumzilia maneno mengiii bila kuwa na ushahidi badala ya kumuunga mkono huyu kijana mwenzetu. Sasa cha kujiuliza Pinto kawashinda nini hao tunaoambiwa wamesoma na kubobea na ma digirii kem kema kama vile akina John Mashaka na yule mwingine Dr Shayo aka ''Dr Plagiarist '' ambaye aliingizwa kwenye bodi ya TPA kimagumashi japo uwezo wake ulikuwa questionable. Hivi inawezekana vipi watu wasomi kama 'Dr' Blandina Nyoni, Waziri Lazaro Nyalandu wengine waone talents za Juma Pinto halafu hawa na 'arm chair critics' wa Juma humu JF wasione?

Kwa kweli kama juma Pinto ameweza na anatumia nafasi zilizopo ni kielelzo tosha kuwa huhitaji kuwa na mavyeti luluki au ukajuana na watu serikalini ili ufanikiwe. Mimi nasema kuwa Juma pinto aungwe mkono na ya nchi hii imewezakatambua uwezo wake na ni kielelezo tosha kuwa hard work pays. Nashauri ikiwezekana apewe tenda ya kuitangaza Tanzania na pia ikiwezekana apewe na tenda za kupiga vita uwindaji haramu wa pembe za ndovu, kuingiza madawa kule MSD na zinginezo kwani uwezo anao ame prove himself na anatoa ajira kwa vijana wakitanzania na sio hawa wadosi ambao hawana lolote. Kama wengine hawawezi kaaeni pembeni.

Hongera sana Pinto aka mtoto wa Tandika mabatini. Na sioni cha kumzuia kupata ubunge wa Temeke 2015 maana ameonyesha kuwa huhitaji kuwa na MBA ya Harvard au kuwa high performing Hedge Fund-Rates Product Control wa Goldman Sachs ili iwe unaweza wa kufanya haya makubwa na mazito aliyoyafanya huyu Juma Pinto na Division IV ya skuli ya BAKWATA. Kama nchi hii ina mawaziri wana degrees feki ndio itakuwa Pinto kutokuwa board member ? Nasema hiviii huyu ndio diaspora mwenye AKILI NYINGIIIII kuliko wote.

http://www.ngorongorocrater.go.tz/i.../70-ncaa-s-new-board-of-directors-inaugurated

NCAA'S New Board of Directors Inaugurated
board2.gif

A ten member Board of Directors for Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) was inaugurated on June 30, 2014 by the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu at Ngorongoro Conservation Area Authority headquarters. The new Board of directors will be chaired by former Ambassador to the US and a prominent lawyer Mwanaid Maajar following her appointment by President Jakaya Kikwete on May 27, 2014.

The board members are the Deputy Speaker of the National Assembly Hon. Job Ndugai, Conservator of Ngorongoro Doctor Freddy Manongi who is also the secretary to the Board, Mr Juma Pinto, Doctor David Mrisho, Mr Laban Moruo and Mr Lukonge P. Mhandagani. Others are Mr Donatius Kamamba, Mr. Lucas Seleli and Mr Metui Ole Shaudo who is the chairman for Ngorongoro Pastoralists Council. The inauguration ceremony was witnessed by other Ministry's senior officials and executives including the Deputy Minister Hon. Mahmoud Mgimwa and the Ministry's Permanent Secretary Maimuna Tarish. NCAA&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];s members of staff and resident communities of Ngorongoro were also in attendance.

Mabilioni ya PR ya Nyalandu huko Uingereza



 
Binafsi ninaiona shida.Kuteuliwa kwa Juma Pinto kuwa katika bodi ya utalii kuna uhusiano gani na kuula?

Kimtazamo, hawezi kutimiza majukumu yaliyofanya hadi kuteuliwa kwake, badala yake atakuwa anatafuta mwanya wa kutafuna pesa, kwa kuwa "ameula".Lazima ale zaidi.

Tutaendelea kuwa maskini na omba omba japokuwa nchi imejaliwa utajiri wa maliasili, raslimali watu lakini tatizo ni fikra za aina hii za kutaka kula kwa kila nafasi ambayo mtu amebahatika kuwanayo au kuteuliwa...
 
Yule Mwana DIASPORA ambaye ni mfano bora na wa kuigwa na wanadiaspora wengine ameteuliwa kuingia kwenye bodi ya Ngorongoro (ndio hiyo hiyo ya Utaliii zote humo humo). Uteuzi wa Pinto ni ushahidi tosha kuwa anafaa kutokana na michango yake tya Kuitangaza Tanzania alipokuwa ughaibuni na vile vile kitendo chake cha kiungwana na kuja kuendeleza Taifa kwa Ujumla.

Pinto ambaye pia ni mmiliki wa gazeti la JAMBO LEO na JAMBO MEDIA na shughuli zinginezo amekuwa mtu mwenye kuhangaika na kutumia nafasi ambazo wana diaspora wengine wamekuwa wakisema hazipo au wanazibiwa na wengine wanakuja humu kumzilia maneno mengiii bila kuwa na ushahidi badala ya kumuunga mkono huyu kijana mwenzetu. Sasa cha kujiuliza Pinto kawashinda nini hao tunaoambiwa wamesoma na kubobea na ma digirii kem kema kama vile akina John Mashaka na yule mwingine Dr Shayo aka
''Dr Plagiarist '' ambaye aliingizwa kwenye bodi ya TPA kimagumashi japo uwezo wake ulikuwa questionable. Hivi inawezekana vipi watu wasomi kama 'Dr' Blandina Nyoni, Waziri Lazaro Nyalandu wengine waone talents za Juma Pinto halafu hawa na 'arm chair critics' wa Juma humu JF wasione?

Kwa kweli kama juma Pinto ameweza na anatumia nafasi zilizopo ni kielelzo tosha kuwa huhitaji kuwa na mavyeti luluki au ukajuana na watu serikalini ili ufanikiwe. Mimi nasema kuwa Juma pinto aungwe mkono na ya nchi hii imewezakatambua uwezo wake na ni kielelezo tosha kuwa hard work pays. Nashauri ikiwezekana apewe tenda ya kuitangaza Tanzania na pia ikiwezekana apewe na tenda za kupiga vita uwindaji haramu wa pembe za ndovu, kuingiza madawa kule MSD na zinginezo kwani uwezo anao ame prove himself na anatoa ajira kwa vijana wakitanzania na sio hawa wadosi ambao hawana lolote. Kama wengine hawawezi kaaeni pembeni.

Hongera sana Pinto aka mtoto wa Tandika mabatini.


NCAA'S New Board of Directors Inaugurated


]
board2.gif


A ten member Board of Directors for Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) was inaugurated on June 30, 2014 by the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu at Ngorongoro Conservation Area Authority headquarters. The new Board of directors will be
chaired by former Ambassador to the US and a prominent lawyer Mwanaid Maajar following her appointment by President Jakaya Kikwete on May 27, 2014.

The board members are the Deputy Speaker of the National Assembly Hon. Job Ndugai,
Conservator of Ngorongoro Doctor Freddy Manongi who is also the secretary to the Board,
Mr Juma Pinto,
Doctor David Mrisho,
Mr Laban Moruo and
Mr Lukonge P. Mhandagani.
Others are Mr Donatius Kamamba,
Mr. Lucas Seleli and
Mr Metui Ole Shaudo who is the chairman for Ngorongoro Pastoralists Council.

The inauguration ceremony was witnessed by other Ministry's senior officials and executives including the Deputy Minister Hon. Mahmoud Mgimwa and the Ministry's Permanent Secretary Maimuna Tarish. NCAA‘s members of staff and resident communities of Ngorongoro were also in attendance.




Kweli watanzania tumebadilika na kuwa watu wa kujikombakomba...

How comes huyu JUMA PINTO ni Mwana DIASPORA? Kaleta nini nyumbani na kuinvest kuliko kuchota vya yeye na rafiki yake RIDHWANI KIKWETE hapa LONDON na hawakumaliza walichokuja kukifanya???

NI kwanini Mnatufanya sisi MBUMBUMBU ?? ETI DIASPORA...

Jaribuni kufanya UCHUNGUZI kabla ya kusifia Watu...



c.c JOFFREY BARATHEON
 
Juma Pinto ni mfanyabiashara maarufu wa madawa ya kulevya a.k.a sembe

Ndiye aliowabebesha mzigo akina Masogange kwenda South Africa wakadakwa...

Kapewa ulaji na mshkaji wake Nyalandu kwa vile Pinto ni mtoto wa mjini huwa anawasaidia akina Nyalandu kutongoza watoto wazuri wa mjini. Pia alikula tenda ya yale matangazo yasiyo na impact yoyote ya kuzuia kuua Tembo kwa maneno. Kijakazi wa Pinto Mzee William Malecela (58) atakesha na mabebes kusherehekea fursa ya boss wake kuingia kwenye biashara ya ujangili kiulaini, nani atamkamata board member akiwa anapeleka mzigobkwa Kinana?
 
Juma Pinto ni mfanyabiashara maarufu wa madawa ya kulevya a.k.a sembe

Hata yule mzungu aliyekufa pale MayFair mwezi moja uliopita kwa kumeza madawa Pinto na Princes ndio walikuwa nae Seaclif one day before wakikamilisha mipango ya kusafirisha mizigo
 
Ndiye aliowabebesha mzigo akina Masogange kwenda South Africa wakadakwa...

Kapewa ulaji na mshkaji wake Nyalandu kwa vile Pinto ni mtoto wa mjini huwa anawasaidia akina Nyalandu kutongoza watoto wazuri wa mjini. Pia alikula tenda ya yale matangazo yasiyo na impact yoyote ya kuzuia kuua Tembo kwa maneno. Kijakazi wa Pinto Mzee William Malecela (58) atakesha na mabebes kusherehekea fursa ya boss wake kuingia kwenye biashara ya ujangili kiulaini, nani atamkamata board member akiwa anapeleka mzigobkwa Kinana?

Mkuu sio Masogange tu yule mzungu aliyekufa Mayfair kwa kumeza sembe kupita kiasi Pinto ndio alikuwa engenear wa kila kitu
 
Huyu huyu Pinto tuemfamu ama mwingine?

Nchii hii ipo siku zenu mtaja juta nasema

Huyu fisadi wa hapo Sport Lounge?

Utaliii? Ok na AUNTY Ezekiel wamweka.
 
Hata yule mzungu aliyekufa pale MayFair mwezi moja uliopita kwa kumeza madawa Pinto na Princes ndio walikuwa nae Seaclif one day before wakikamilisha mipango ya kusafirisha mizigo

Kweli.Mtandao wa drug dealers ni mkubwa sana unahusisha watu wazito ukiongozwa na mtoto wa kingunge
 
Ndiye aliowabebesha mzigo akina Masogange kwenda South Africa wakadakwa...

Kapewa ulaji na mshkaji wake Nyalandu kwa vile Pinto ni mtoto wa mjini huwa anawasaidia akina Nyalandu kutongoza watoto wazuri wa mjini. Pia alikula tenda ya yale matangazo yasiyo na impact yoyote ya kuzuia kuua Tembo kwa maneno. Kijakazi wa Pinto Mzee William Malecela (58) atakesha na mabebes kusherehekea fursa ya boss wake kuingia kwenye biashara ya ujangili kiulaini, nani atamkamata board member akiwa anapeleka mzigobkwa Kinana?

Wiliam Malecela LE MUTUZ ni wakala wa kutafuta mabinti wa kubeba sembe, Ndio kaz inayomuweka mjini
 
Maajabu yanaendelea huku,naomba uraia kwa Uhuru Kenyata sasa aibu Tanzania!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom