Mwana DIASPORA Juma Pinto aula bodi ya Utaliii

Mwana DIASPORA Juma Pinto aula bodi ya Utaliii

Ukimpa nchi mswahili basi tegemea upuuzi na uozo kama huu.

Ndugu kwa hiyo kwako washahili ni watu wasiofaa kabisa kuongoza, punguza basi hasira za udini, utaumia moyo wako bure

"My religion is truth." These four little words from Diane
 
Pinto naye yupo kwenye mgao wa escrow 400mils hizo nadhani ni za ridhimoko.
 
Dah! Hata Juma Pinto??!!! Ama kweli huu ni mwaka wa mwisho wa mkuu wa kaya. Asanteni sana CCM.
Ova
 
Hata mimi ningekamata fursa 😎😎😎😎😎😎😎😎

Ila juma sembe usiuze
 
Hili jina la Juma Pinto ni maarufu sana kwenye Dili nyingi chafu zinazohusisha viongozi wakuu wa nchi na wafanya biashara wakubwa. Naomba wadau wanaomfahamu watujulishe profile yake na hizo Dili na kwa nini vyombo vya dola vinamuoga. Last month nasikia alivusha dawa za kulevya bila kuulizwa pale JKNIA
 
Hili jina la Juma Pinto ni maarufu sana kwenye Dili nyingi chafu zinazohusisha viongozi wakuu wa nchi na wafanya biashara wakubwa. Naomba wadau wanaomfahamu watujulishe profile yake na hizo Dili na kwa nini vyombo vya dola vinamuoga. Last month nasikia alivusha dawa za kulevya bila kuulizwa pale JKNIA

Ni hausiboi wa rizione.
 
Juma Pinto ni mtaalamu wa dili chafu zote na anajihusisha na kambi mojawapo ya uraisi 2015 kupitia magazeti yake ya Jambo Leo
 
Juma Pinto gani huyo? Pinto huyuhuyu aliwahi kujilipua na kuwa muingereza ambaye hadi leo hajaukana uingereza lakini amukana utanzania? Pinto huyuhuyu ambaye hata kumaliza form four kulimshinda? Pinto huyu huyu ambaye kazi yake kubwa kuwasifia viongozi jinsi walivyopendeza? Au Pinto yupi jamani? si huyu Pinto wa Taswa sijui alikuwa Taswa au Pinto mwingine? Pinto huyuhuyu mjanja mjana wa mjini? Amaaaaaa nchi hii!
 



Kweli watanzania tumebadilika na kuwa watu wa kujikombakomba...

How comes huyu JUMA PINTO ni Mwana DIASPORA? Kaleta nini nyumbani na kuinvest kuliko kuchota vya yeye na rafiki yake RIDHWANI KIKWETE hapa LONDON na hawakumaliza walichokuja kukifanya???

NI kwanini Mnatufanya sisi MBUMBUMBU ?? ETI DIASPORA...

Jaribuni kufanya UCHUNGUZI kabla ya kusifia Watu...



c.c JOFFREY BARATHEON
Yaani huku ni kujipigia debe kwa Juma Pinto
labda kwa wale wasiomjia mwandishi wa habari za Michezo anayejipendekeza kwa Mkuu wa Kaya toka kipindi kile
leo eti na Ubunge wa Temeke anautaka
sijui ngoja tupite maana hata hayo majigambo nimeshindwa yamalizia
 
According to Mwana JF aka GREAT THINKER aka INDEPENDENT THINKER mwenzetu bwana KIBANGA AMPINGA MKOLONI, Mwana DIASPORA kwa jina la Juma Pinto ambaye ni mfano bora na wa kuigwa na wanadiaspora wengine ameteuliwa kuingia kwenye bodi ya Ngorongoro (ndio hiyo hiyo ya Utaliii zote humo humo). Uteuzi wa Pinto ni ushahidi tosha kuwa anafaa kutokana na michango yake tya Kuitangaza Tanzania alipokuwa ughaibuni na vile vile kitendo chake cha kiungwana na kuja kuendeleza Taifa kwa Ujumla.

Pinto ambaye pia ni mmiliki wa gazeti la JAMBO LEO na JAMBO MEDIA , CITY BAR na shughuli zinginezo amekuwa mtu mwenye kuhangaika na kutumia nafasi ambazo wana diaspora wengine wamekuwa wakisema hazipo au wanazibiwa na wengine wanakuja humu kumzilia maneno mengiii bila kuwa na ushahidi badala ya kumuunga mkono huyu kijana mwenzetu. Sasa cha kujiuliza Pinto kawashinda nini hao tunaoambiwa wamesoma na kubobea na ma digirii kem kema kama vile akina John Mashaka na yule mwingine Dr Shayo aka ''Dr Plagiarist '' ambaye aliingizwa kwenye bodi ya TPA kimagumashi japo uwezo wake ulikuwa questionable. Hivi inawezekana vipi watu wasomi kama 'Dr' Blandina Nyoni, Waziri Lazaro Nyalandu wengine waone talents za Juma Pinto halafu hawa na 'arm chair critics' wa Juma humu JF wasione?

Kwa kweli kama juma Pinto ameweza na anatumia nafasi zilizopo ni kielelzo tosha kuwa huhitaji kuwa na mavyeti luluki au ukajuana na watu serikalini ili ufanikiwe. Mimi nasema kuwa Juma pinto aungwe mkono na ya nchi hii imewezakatambua uwezo wake na ni kielelezo tosha kuwa hard work pays. Nashauri ikiwezekana apewe tenda ya kuitangaza Tanzania na pia ikiwezekana apewe na tenda za kupiga vita uwindaji haramu wa pembe za ndovu, kuingiza madawa kule MSD na zinginezo kwani uwezo anao ame prove himself na anatoa ajira kwa vijana wakitanzania na sio hawa wadosi ambao hawana lolote. Kama wengine hawawezi kaaeni pembeni.

Hongera sana Pinto aka mtoto wa Tandika mabatini. Na sioni cha kumzuia kupata ubunge wa Temeke 2015 maana ameonyesha kuwa huhitaji kuwa na MBA ya Harvard au kuwa high performing Hedge Fund-Rates Product Control wa Goldman Sachs ili iwe unaweza wa kufanya haya makubwa na mazito aliyoyafanya huyu Juma Pinto na Division IV ya skuli ya BAKWATA. Kama nchi hii ina mawaziri wana degrees feki ndio itakuwa Pinto kutokuwa board member ? Nasema hiviii huyu ndio diaspora mwenye AKILI NYINGIIIII kuliko wote.


NCAA'S New Board of Directors Inaugurated
board2.gif

A ten member Board of Directors for Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) was inaugurated on June 30, 2014 by the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu at Ngorongoro Conservation Area Authority headquarters. The new Board of directors will be chaired by former Ambassador to the US and a prominent lawyer Mwanaid Maajar following her appointment by President Jakaya Kikwete on May 27, 2014.

The board members are the Deputy Speaker of the National Assembly Hon. Job Ndugai, Conservator of Ngorongoro Doctor Freddy Manongi who is also the secretary to the Board, Mr Juma Pinto, Doctor David Mrisho, Mr Laban Moruo and Mr Lukonge P. Mhandagani. Others are Mr Donatius Kamamba, Mr. Lucas Seleli and Mr Metui Ole Shaudo who is the chairman for Ngorongoro Pastoralists Council. The inauguration ceremony was witnessed by other Ministry’s senior officials and executives including the Deputy Minister Hon. Mahmoud Mgimwa and the Ministry’s Permanent Secretary Maimuna Tarish. NCAA‘s members of staff and resident communities of Ngorongoro were also in attendance.

Mabilioni ya PR ya Nyalandu huko Uingereza




mbona huyu mleta uzi ana-sound like kumponda (na si kumsifia/kumpongeza) Juma Pinto??

or is it me?
 
Serikali ya kiujanja ujanja hii, ya kimjini mjini, ya kishkaji.
Ila imeshaanza kuwagharimu ba itagharimu mpaka vizazi vyao vya 4, pole JK.
 
Ndiye aliowabebesha mzigo akina Masogange kwenda South Africa wakadakwa...

Kapewa ulaji na mshkaji wake Nyalandu kwa vile Pinto ni mtoto wa mjini huwa anawasaidia akina Nyalandu kutongoza watoto wazuri wa mjini. Pia alikula tenda ya yale matangazo yasiyo na impact yoyote ya kuzuia kuua Tembo kwa maneno. Kijakazi wa Pinto Mzee William Malecela (58) atakesha na mabebes kusherehekea fursa ya boss wake kuingia kwenye biashara ya ujangili kiulaini, nani atamkamata board member akiwa anapeleka mzigobkwa Kinana?
...hivi nani alifanya huu uteuzi wa JUma Pinto???....kama ni Rizwani Kikwete nitaelewa..maana ni mshkaji wake wa karibu sana..Lakini kama ni rais kamteua lazima tuwe na maswali mengi sana juu ya teuzi hii....Inawezekanaje wauza unga hawa wanateuliwa kuwa members wa bodi zetu zenye heshima???..huku ndio kunaitwa kupeana ulaji...yaani huyu rais anataka atakapoondoka madarakani awe ameacha watu wake kwenye kila nafasi inayowezekana....hii ni hujuma....
....Pinto namjua..wanamiliki na Rizwani ile pub ya city lounge pale askari monument dar city centre...huyu Pinto ndie anajulikana boss pale..lakini mmiliki wanasema ni Rizwani Kikwete....Binafsi nimemkaza demu mhudumu anaehudumia pale city lounge pub akanijuza mengi kuhusu watu hawa...hawafai yaani....
 
According to Mwana JF aka GREAT THINKER aka INDEPENDENT THINKER mwenzetu bwana KIBANGA AMPINGA MKOLONI, Mwana DIASPORA kwa jina la Juma Pinto ambaye ni mfano bora na wa kuigwa na wanadiaspora wengine ameteuliwa kuingia kwenye bodi ya Ngorongoro (ndio hiyo hiyo ya Utaliii zote humo humo). Uteuzi wa Pinto ni ushahidi tosha kuwa anafaa kutokana na michango yake tya Kuitangaza Tanzania alipokuwa ughaibuni na vile vile kitendo chake cha kiungwana na kuja kuendeleza Taifa kwa Ujumla.

Pinto ambaye pia ni mmiliki wa gazeti la JAMBO LEO na JAMBO MEDIA , CITY BAR na shughuli zinginezo amekuwa mtu mwenye kuhangaika na kutumia nafasi ambazo wana diaspora wengine wamekuwa wakisema hazipo au wanazibiwa na wengine wanakuja humu kumzilia maneno mengiii bila kuwa na ushahidi badala ya kumuunga mkono huyu kijana mwenzetu. Sasa cha kujiuliza Pinto kawashinda nini hao tunaoambiwa wamesoma na kubobea na ma digirii kem kema kama vile akina John Mashaka na yule mwingine Dr Shayo aka ''Dr Plagiarist '' ambaye aliingizwa kwenye bodi ya TPA kimagumashi japo uwezo wake ulikuwa questionable. Hivi inawezekana vipi watu wasomi kama 'Dr' Blandina Nyoni, Waziri Lazaro Nyalandu wengine waone talents za Juma Pinto halafu hawa na 'arm chair critics' wa Juma humu JF wasione?

Kwa kweli kama juma Pinto ameweza na anatumia nafasi zilizopo ni kielelzo tosha kuwa huhitaji kuwa na mavyeti luluki au ukajuana na watu serikalini ili ufanikiwe. Mimi nasema kuwa Juma pinto aungwe mkono na ya nchi hii imewezakatambua uwezo wake na ni kielelezo tosha kuwa hard work pays. Nashauri ikiwezekana apewe tenda ya kuitangaza Tanzania na pia ikiwezekana apewe na tenda za kupiga vita uwindaji haramu wa pembe za ndovu, kuingiza madawa kule MSD na zinginezo kwani uwezo anao ame prove himself na anatoa ajira kwa vijana wakitanzania na sio hawa wadosi ambao hawana lolote. Kama wengine hawawezi kaaeni pembeni.

Hongera sana Pinto aka mtoto wa Tandika mabatini. Na sioni cha kumzuia kupata ubunge wa Temeke 2015 maana ameonyesha kuwa huhitaji kuwa na MBA ya Harvard au kuwa high performing Hedge Fund-Rates Product Control wa Goldman Sachs ili iwe unaweza wa kufanya haya makubwa na mazito aliyoyafanya huyu Juma Pinto na Division IV ya skuli ya BAKWATA. Kama nchi hii ina mawaziri wana degrees feki ndio itakuwa Pinto kutokuwa board member ? Nasema hiviii huyu ndio diaspora mwenye AKILI NYINGIIIII kuliko wote.


NCAA'S New Board of Directors Inaugurated
board2.gif

A ten member Board of Directors for Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) was inaugurated on June 30, 2014 by the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu at Ngorongoro Conservation Area Authority headquarters. The new Board of directors will be chaired by former Ambassador to the US and a prominent lawyer Mwanaid Maajar following her appointment by President Jakaya Kikwete on May 27, 2014.

The board members are the Deputy Speaker of the National Assembly Hon. Job Ndugai, Conservator of Ngorongoro Doctor Freddy Manongi who is also the secretary to the Board, Mr Juma Pinto, Doctor David Mrisho, Mr Laban Moruo and Mr Lukonge P. Mhandagani. Others are Mr Donatius Kamamba, Mr. Lucas Seleli and Mr Metui Ole Shaudo who is the chairman for Ngorongoro Pastoralists Council. The inauguration ceremony was witnessed by other Ministry’s senior officials and executives including the Deputy Minister Hon. Mahmoud Mgimwa and the Ministry’s Permanent Secretary Maimuna Tarish. NCAA‘s members of staff and resident communities of Ngorongoro were also in attendance.

Mabilioni ya PR ya Nyalandu huko Uingereza



Juma Pinto huyu muuza madawa ya kulevya ninayemjua au mtu mwingine. Jaman neno uzalendo limekuwa adimu sana.
 
Huu uteuzi umealead into absurdity.

1. Kwa sababu mh Naibu spika ana conflict of interest Kwenye hiyo body kwa maana hiyo wakati wa maamuzi ya kusimamia body inabidi ajieleze kwa waheshimiwa wabunge interest zote alizo nazo Kwenye body then wabunge waamue kama atoke ama abaki na strategically haiwezekani yeye kujisimamia nadhani haya maajabu ya dunia yanatokea Tanzania tu sijawahi kuona popote.

2. Kama Pinto anavyolalamikiwa humu inaonyesha Kabisa tulipofika kama nchi watanzania Kama nchi nadhani tuna kila sababu ya kumrudia Mungu wetu tumepotea na vizazi vyetu vitatuhukumu.

In in short the appointment has lead into absurdity that needs immediate action to rescue the situation
 
Huu uteuzi umealead into absurdity.

1. Kwa sababu mh Naibu spika ana conflict of interest Kwenye hiyo body kwa maana hiyo wakati wa maamuzi ya kusimamia body inabidi ajieleze kwa waheshimiwa wabunge interest zote alizo nazo Kwenye body then wabunge waamue kama atoke ama abaki na strategically haiwezekani yeye kujisimamia nadhani haya maajabu ya dunia yanatokea Tanzania tu sijawahi kuona popote.

2. Kama Pinto anavyolalamikiwa humu inaonyesha Kabisa tulipofika kama nchi watanzania Kama nchi nadhani tuna kila sababu ya kumrudia Mungu wetu tumepotea na vizazi vyetu vitatuhukumu.

In in short the appointment has lead into absurdity that needs immediate action to rescue the situation
..alafu inakuwaje mbunge anakuwa board member???hili limeshapigiwa sana kelele hata bungeni....alafu mbunge mwenyewe ni naibu spika...hivi hii conflict of interest iliyojegwa hapa itawezaje kuruhusu mjadala wenye manufaa kwa nchi pale bungeni mara matatizo huko utalii yatakapokuwa yanajadiliwa bungeni???....hivi watu wanaofanya haya maamuzi huwa wanatumia akili gani????
 
Back
Top Bottom