excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Mwamvita makamba, kupitia ukuta wake wa twitter,
amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..
Girls:
Kama huna akili- hujasoma na huna kazi,
Kama ni mvivu na sio mbunifu,
Mpenda dezo na huwezi honest living,
mara mia 'buzi' sio sembe!.
------
Mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china
muda si mrefu!
Habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina
wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!
kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!
amepost haya kuwaasa wadada kuhusu sembe..
Girls:
Kama huna akili- hujasoma na huna kazi,
Kama ni mvivu na sio mbunifu,
Mpenda dezo na huwezi honest living,
mara mia 'buzi' sio sembe!.
------
Mwamvita ametoa ujumbe huu mkali baada ya mwanadada mwenzie #jackie-cliff kukamatwa na sembe huko china
muda si mrefu!
Habari zilizoko kwenye mitandao mingi hivi sasa zinathibitisha kuwa, mrembo huyu pichani, yuko mikononi mwa wachina
wenye hasira kali dhidi ya wachafuzi wa afya za raia wao, baada ya kudakwa na kilo nzima ya unga!!
kazi kwenu wadada (na hata wakaka pia) mnaopenda maisha ya steep slope!!