DOKEZO Mwamposa ni nani Tanzania hii hadi anaruhusiwa Kubomoa Uzio uliojengwa kwa Ajili ya Matamasha yake Tanganyika Packers Kawe?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,631
108,992
Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.

Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?

Sasa kama tunampenda na kumpa Kiburi chote na Jeuri zote mbele ya Mamlaka na Watanzania kwanini hatumtumii Kuwapumbaza Watanzania waikubali DP World, atusaidie kuacha Kunywa Whisky, tutunze Ndoa zetu na tusiwe Wanafiki na Wapumbavu?

Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake?

Najua kuna Wapumbavu watakuja hapa na kusema kuwa GENTAMIYCINE nina Chuki Binafsi na niko Obsessed na Mwamposa ila kwa jinsi huyu Mtu hivi sasa anakuwa Treated na Mamlaka ( Serikali ) kama Mungu wa Pili baada ya MUNGU MKUU wenye Akili tunahisi huenda akawa anatumika hata kwa Mambo mengine Hasi kwa Jamii na Taifa kupitia Imani za Watu.

Kwahiyo kuwaombeeni Kwake mpone Virusi visivyotibika hata na WHO huku akija huko katika Mahekalu yenu Makubwa ya nchini na Kuwadanganyeni na akifaidika Kimaisha na Upumbavu na Ushamba wenu ndiyo mnampa Mamlaka yote hata katika Masuala ya Kikanuni na Kiutaratibu?

Kama Mzalendo wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE nakereka na Mtu Mmoja kuvunja taratibu zilizoko za Kimamlaka kwakuwa tu ana Fedha, Analindwa na Anaogopwa kwa Maombi yake ya Kimazingaombwe na Dawa za kutoka Mozambique na Congo DR.

Siku zingine mruhusuni aje afanye Matamasha yake Magogoni na Chamwino ili awaombeeni na Matatizo yenu makubwa mliyonayo na yenye Historia ya kuanza mwaka 1981 yakitokea nchini Uganda kwa Muasisi Mvunja Ukimya Marehemu Philemon Lutaaya.
 
Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.

Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?

Sasa kama tunampenda na kumpa Kiburi chote na Jeuri zote mbele ya Mamlaka na Watanzania kwanini hatumtumii Kuwapumbaza Watanzania waikubali DP World, atusaidie kuacha Kunywa Whisky, tutunze Ndoa zetu na tusiwe Wanafiki na Wapumbavu?

Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake?

Najua kuna Wapumbavu watakuja hapa na kusema kuwa GENTAMIYCINE nina Chuki Binafsi na niko Obsessed na Mwamposa ila kwa jinsi huyu Mtu hivi sasa anakuwa Treated na Mamlaka ( Serikali ) kama Mungu wa Pili baada ya MUNGU MKUU wenye Akili tunahisi huenda akawa anatumika hata kwa Mambo mengine Hasi kwa Jamii na Taifa kupitia Imani za Watu.

Kwahiyo kuwaombeeni Kwake mpone Virusi visivyotibika hata na WHO huku akija huko katika Mahekalu yenu Makubwa ya nchini na Kuwadanganyeni na akifaidika Kimaisha na Upumbavu na Ushamba wenu ndiyo mnampa Mamlaka yote hata katika Masuala ya Kikanuni na Kiutaratibu?

Kama Mzalendo wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE nakereka na Mtu Mmoja kuvunja taratibu zilizoko za Kimamlaka kwakuwa tu ana Fedha, Analindwa na Anaogopwa kwa Maombi yake ya Kimazingaombwe na Dawa za kutoka Mozambique na Congo DR.

Siku zingine mruhusuni aje afanye Matamasha yake Magogoni na Chamwino ili awaombeeni na Matatizo yenu makubwa mliyonayo na yenye Historia ya kuanza mwaka 1981 yakitokea nchini Uganda kwa Muasisi Mvunja Ukimya Marehemu Philemon Lutaaya.
kumbe na majibu unayo sasa kama ana jenga sisi tumfanyaje
nilijua kabomooooa mazima
 
Tukana au dhalilisha majaji halafu uone kama utaambiwa uombe msamaha hadharani au Utaenda kunyea debe kwanza huku kesi yako ikiendelea
 
Hii tu nayo inatosha kua mada nyingine...

Viongozi wetu ni wazito sana kwa mtu mwenye kundi kubwa la watu nyuma, hasa aliowabeba kiimani.
Zamani alikuwa anayachota hayo Mazingaombwe yake Mji wa Kanu nchini Nigeria ila kwa sasa anachanganya Dawa za Mozambique na Congo DR na chache anatoa Kijijini Kwao kwa Mmoja wa Bibi zake.

Nawaonea mno Huruma Wanaomuamini.
 
Zaidi ya chuki sidhani Kama unayo hoja Kama anabomoa na anajenga shida nini,.
Mfano jirani yako kaomba abomoe ukuta wako apitishe vitu vizito akimaliza atajenga shida nini
 
Zamani alikuwa anayachota hayo Mazingaombwe yake Mji wa Kanu nchini Nigeria ila kwa sasa anachanganya Dawa za Mozambique na Congo DR na chache anatoa Kijijini Kwao kwa Mmoja wa Bibi zake.

Nawaonea mno Huruma Wanaomuamini.
Mkuu we umejuaje yote hayo wewe ni mfuasi wake au ni msaidizi wake unaetoa siri ya Kambi?
 
Yaani huyo jamaa hakuna anayeweza kumgusa. Yaani hata ujipigepige ujirushe rushe hakuna mtu wa kumfanya kitu kwa sasa.
Kwanza ana hela. Pili ana watu Tanzania nzima na tatu ana mabig fish wa nchi.
 
Zamani alikuwa anayachota hayo Mazingaombwe yake Mji wa Kanu nchini Nigeria ila kwa sasa anachanganya Dawa za Mozambique na Congo DR na chache anatoa Kijijini Kwao kwa Mmoja wa Bibi zake.

Nawaonea mno Huruma Wanaomuamini.
nendaa na weweee huko
 
Yaani huyo jamaa hakuna anayeweza kumgusa. Yaani hata ujipigepige ujirushe rushe hakuna mtu wa kumfanya kitu kwa sasa.
Kwanza ana hela. Pili ana watu Tanzania nzima na tatu ana mabig fish wa nchi.
Sasa mbona hawaponi huo UKIMWI walionao anaowaombea na Kutwa tu wanaenda kubadili Damu zao Abroad South Africa na Overseas Marekani?

Huna na Hamna Akili.
 
Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.

Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?

Sasa kama tunampenda na kumpa Kiburi chote na Jeuri zote mbele ya Mamlaka na Watanzania kwanini hatumtumii Kuwapumbaza Watanzania waikubali DP World, atusaidie kuacha Kunywa Whisky, tutunze Ndoa zetu na tusiwe Wanafiki na Wapumbavu?

Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake?

Najua kuna Wapumbavu watakuja hapa na kusema kuwa GENTAMIYCINE nina Chuki Binafsi na niko Obsessed na Mwamposa ila kwa jinsi huyu Mtu hivi sasa anakuwa Treated na Mamlaka ( Serikali ) kama Mungu wa Pili baada ya MUNGU MKUU wenye Akili tunahisi huenda akawa anatumika hata kwa Mambo mengine Hasi kwa Jamii na Taifa kupitia Imani za Watu.

Kwahiyo kuwaombeeni Kwake mpone Virusi visivyotibika hata na WHO huku akija huko katika Mahekalu yenu Makubwa ya nchini na Kuwadanganyeni na akifaidika Kimaisha na Upumbavu na Ushamba wenu ndiyo mnampa Mamlaka yote hata katika Masuala ya Kikanuni na Kiutaratibu?

Kama Mzalendo wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE nakereka na Mtu Mmoja kuvunja taratibu zilizoko za Kimamlaka kwakuwa tu ana Fedha, Analindwa na Anaogopwa kwa Maombi yake ya Kimazingaombwe na Dawa za kutoka Mozambique na Congo DR.

Siku zingine mruhusuni aje afanye Matamasha yake Magogoni na Chamwino ili awaombeeni na Matatizo yenu makubwa mliyonayo na yenye Historia ya kuanza mwaka 1981 yakitokea nchini Uganda kwa Muasisi Mvunja Ukimya Marehemu Philemon Lutaaya.
Pole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .Kama unajua zilipo dawa anazogawa basi usipate tabu najua hata wewe pesa unazihitaji kachukue hizo dawa anzisha ibada nao watakuja .

Mtu mwenye wafuasi wengi vile wenye elimu na nguvu za kiuchumi tena wengine wenye Mamlaka makubwa ndani na nje ya hii nchi wanakwenda kumsikiliza yeye jua wazi pale kuna jambo si kawaida ukipata fursa nenda kachunguze vizuri ili usiropoke na kuonekana huna akili.

Ebu fikiri kampuni ya Abood bus service inapeleka magari 10+ yanapark pale kutokea huko mikoani inasubiria abiria iliowaleta kutokea mikoani ,Hotel za maeneo ya Kawe,Mbezi,Tegeta,Kunduchi zimejaa waamini wake ili wahudhurie ibada,Tax,Boda,Bajaji,Daladala wanapata fursa ya kupata abiria,Television karibu tano zinapata Matangazo yake,Wafanyabiashara ndogondogo wanapata wateja,Watu walioajiriwa kwake ni wengi.Yaani wewe Mbumbumbu badala ya kuona utajiri na neema ya fursa anazoleta huyo Mchungaji wewe unaona kero tu.Roho ya kimaskini inakutafuna sana.Huu muda nilitegemea kuwa unazo Bajaji pale zinapiga hela,Unacho kigest pale Watu wanalala ,Unao mgahawa pale Watu wanakula, Eti umekuja hapa inalalamika Uzio ambao unajengeka Fasta tu wakati huo serikali imeshakusanya kodi kwenye Hotel,vyombo vya usafiri, na imesaidiwa kupunguza tatizo la ajira. Amka toka shimoni.

Ukiona Mtu anawafuasi wengi Mtazame kwa jicho la tatu Mtu wa kawaida hawezi kuwa na Ushawishi vile.
 
Back
Top Bottom