Badala ya kumshukuru MUNGU anamshukuru Samia sijui huu upumbavu utaisha lini,sasa kwa ujinga huo kwa nini msifungiwe makanisa ya upuuzi kama ya akina Mwamposa.Tusome pia biblia kitabu cha Yeremia 17:5-7 MUNGU amesema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa Kinga yake.katika hali tuliyonayo ww mchungaji unaenda kwenye media unamshukuru Samia kwa kitu Gani kama ww sio poyoyo na kilaza au ww di tu.Yaani huduma zenu za kikristo zinafungiwa ww unaenda kumshukuru Samia,kweli Mwamposa Hana Akili kama wanaomfuata.